Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali iuzingatie ushauri huu muhimu

Tuna imani kuwa nchi yetu itaendelea kuwa ya amani, utulivu na mshikamano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes atoa ushauri muhimu kwa Diamond na Alikiba

Msanii wa longtime kwenye familia ya Bongo Flava ambaye hujiita muasisi wa muziki huo, Dully Sykes amewataka Diamond na Alikiba kuweka tofauti zao na kufanya kazi pamoja. Dully amedai kuwa Alikiba na Diamond wanatakiwa wafanye kazi waweke tofauti zao pembeni na waingize hela. “Hivi we unadhani itoke nyimbo ya Alikiba na Diamond si itakuwa hatari […]

 

5 years ago

Bongo5

Nina huu ushauri kwa Rais Magufuli – Hamorapa

Harmorapa amefunguka na nia ya kutoa ushauri kwa Rais Magufuli juu ya mambo ambayo angependa kuona Rais anayafanyia kazi.

Harmorapa akiwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV amemshauri Rais Magufuli kuboresha zaidi miundombinu.

“Rais Magufuli unajua yeye ndiye mwenye nchi sasa, hivyo mimi namuomba aboreshe zaidi suala la miundombinu natambua amefanya mambo mengi na makubwa kwenye sekta hiyo ila aboreshe zaidi, lakini pia namuomba Rais Magufuli aendelee...

 

10 years ago

Bongo5

Huu ni ushauri wa Chidi Benz kuhusiana na suala la Diamond na Davido

Rapper Chidi Benz amejitosa kuzungumzia mkwaruzano uliotokea kati ya Diamond Platnumz na msanii wa Nigeria Davido. Hiki ndicho alichoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook. Mimi binafsi ningeweza kumwambia mdogo wangu Dimooond aseme haya mambo yapite na Davido sorry my brotha,watu wote tuacheni marumbano na isiwe mapema hivi tunashindana..wote Africa Lugha zimechanganyana plus wajuaji wengi kazi […]

 

10 years ago

Vijimambo

Huu ndo ushauri aliopewa mkubwa Fella kuhusu kuwalinda yamoto band na wamama wa mjini.

kazi nzuri sana Mkubwa Felaaaa, ila muombe Mungu sana hawa watoto wasihadaike na mashangingi ya mjnii maana watakumalizia watoto, wamama wakianza yao tu, utaona vijana wako wamebadilika mara viburi, kuchelewa kazini, nk, omba sana ndugu maana nimeshasikia mdada mmoja kajivutia wake watuu wabayaaa jamani daah, ngoja tuendelee kufanya uchunguzi tuje na data kamili maana huwa hatutoi habari za uzushi, ila kama ni kweli wewe dada msanii unafanya hivyo acha, muachie mtoto wa watu jamaniii khaa si...

 

10 years ago

BBCSwahili

Habari muhimu barani Afrika mwaka huu

Hizi ndizo habari muhimu zilizotokea barani Afrika,je unaweza kuzikumbuka vipi?Angalia kanda hii ya video kwa sekunde 60.

 

9 years ago

Bongo5

Adam Juma atoa ushauri wa bure kwa ma-director: Ubunifu ndio utakaotuokoa katika ukame huu

Adam Jumaa

Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma ametumia akaunti yake Instagram kutoa ushauri wa bure kwa waongozaji wenzake.

Adam Jumaa

Hiki ndicho ameandika Adam:

“Kwa madirector wadogo na wakubwa, hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi, hakuna media itakayokuokoa katika ukame wa kazi utakapo wasili. Sifa hujenga kiburi akili hujenga ustaarabu, mafanikio yako yapo mkononi mwako- hata wakishot mbinguni isiwe sababu ya ww kuacha na kutoipenda kazi yako. Simama kwenye mstari na ujiamini, usishindane...

 

10 years ago

Mwananchi

Stella Jairosi: Uchaguzi huu ni ‘karata’ muhimu ya kunusuru elimu

Sera mpya ya elimu na mafunzo, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, sheria za nchi na kanuni zinazogusia elimu, vinaainisha, kuhamasisha jamii ishiriki kikamilifu katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kupata fursa ya elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilipuuza ushauri wa Spika

>Kasoro zilizomo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya 2011, zimechangiwa na Serikali kupuuza mapendekezo yaliyotolewa na Ofisi ya Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa mchakato wa marekebisho ya sheria hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUZINGATIA USHAURI WA RIPOTI YA ESRF YA MAENDELEO YA BINADAMU

IMG_4859Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida (katikati) akimlaki Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. Hawa Ghasia (kushoto) mara baada ya kuwasili katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha kufungua warsha ya uwasilishwaji wa ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya Mwaka 2014 iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani