Adam Juma atoa ushauri wa bure kwa ma-director: Ubunifu ndio utakaotuokoa katika ukame huu
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma ametumia akaunti yake Instagram kutoa ushauri wa bure kwa waongozaji wenzake.
Hiki ndicho ameandika Adam:
“Kwa madirector wadogo na wakubwa, hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi, hakuna media itakayokuokoa katika ukame wa kazi utakapo wasili. Sifa hujenga kiburi akili hujenga ustaarabu, mafanikio yako yapo mkononi mwako- hata wakishot mbinguni isiwe sababu ya ww kuacha na kutoipenda kazi yako. Simama kwenye mstari na ujiamini, usishindane...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Dec
Justin Campos atoa ushauri kwa ma-director wa Tanzania, asema anamkubali zaidi Hanscana
![justin2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/justin2-300x194.jpg)
Justin Campos ni jina linalotajwa sana kwa sasa linapokuja swala ya video za muziki. Huyu ni muongozaji wa video kutoka Afrika Kusini ambaye alianza kufahamika zaidi Tanzania baada ya kufanya kazi na Vanessa Mdee ‘No Body But Me’.
Kupitia kampuni yake ya Gorilla Films, Justin na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wamefanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania hadi sasa, na kuna wengine wanaendelea kuwatafuta ili wafanye kazi.
Katika mahojiano Exclusive na Bongo5, Justin...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6XTbtN2jNM8/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Sep
PETRONILLAH NYAMSISA : Ubunifu ndio msingi katika ujasiriamali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIYLdXuQpY-1Ogjn09i5k3J3dtbMjT3cB-V9qWtJ-acWg0ZVycsqwkqppy6bHwfGt2doUBiu4qfy3tlMWgt1JsJu/SIMUDOKTA.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo523 Sep
Adam Juma ampongeza Izzo Bizness kwa kutaja gharama halisi aliyotumia kwenye video ya ‘Walala hoi’, M 1.4
5 years ago
MichuziJAFO AWAPONGEZA KISARAWE KWA UBUNIFU WA TAMASHA LA MAMA LISHE, ATOA MAAGIZO KWA WAKURUGENZI WOTE
Jafo ametumia nafasi hiyo kuwataka wakurugenzi wa halmashiri zote nchini ambao wataoshindwa kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana watachukuliwa hatua ikiwemo ya kutumbuliwa.
Akizungumza...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-89VClRRtHDY/VPNM0dXObzI/AAAAAAAApOE/izS2OAlxLko/s72-c/ali%2Bkibaa.png)
Ushauri wa Bure Kwa Ali Kiba Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Tafuta Watu wa Kukutungia Nyimbo
![](http://2.bp.blogspot.com/-89VClRRtHDY/VPNM0dXObzI/AAAAAAAApOE/izS2OAlxLko/s640/ali%2Bkibaa.png)
5 years ago
Bongo514 Feb
Nina huu ushauri kwa Rais Magufuli – Hamorapa
Harmorapa amefunguka na nia ya kutoa ushauri kwa Rais Magufuli juu ya mambo ambayo angependa kuona Rais anayafanyia kazi.
Harmorapa akiwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV amemshauri Rais Magufuli kuboresha zaidi miundombinu.
“Rais Magufuli unajua yeye ndiye mwenye nchi sasa, hivyo mimi namuomba aboreshe zaidi suala la miundombinu natambua amefanya mambo mengi na makubwa kwenye sekta hiyo ila aboreshe zaidi, lakini pia namuomba Rais Magufuli aendelee...