PETRONILLAH NYAMSISA : Ubunifu ndio msingi katika ujasiriamali
Katika kuperuzi kwangu mtandao wa intanet, nakutana na bidhaa zenye nembo ya Petit. Bidhaa hizi zilizofungashwa vizuri zinajumuisha mbogamboga, matunda, nafaka lakini hata nyama, samaki na mayai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Nov
Adam Juma atoa ushauri wa bure kwa ma-director: Ubunifu ndio utakaotuokoa katika ukame huu
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma ametumia akaunti yake Instagram kutoa ushauri wa bure kwa waongozaji wenzake.
Hiki ndicho ameandika Adam:
“Kwa madirector wadogo na wakubwa, hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi, hakuna media itakayokuokoa katika ukame wa kazi utakapo wasili. Sifa hujenga kiburi akili hujenga ustaarabu, mafanikio yako yapo mkononi mwako- hata wakishot mbinguni isiwe sababu ya ww kuacha na kutoipenda kazi yako. Simama kwenye mstari na ujiamini, usishindane...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-69GAIs_ARUw/XrkpFzx-IgI/AAAAAAALpw0/FhgQ7DXVVJgazVbR785zj6Hs59wyDMibQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.20%2BPM.jpeg)
UBUNIFU KATIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-69GAIs_ARUw/XrkpFzx-IgI/AAAAAAALpw0/FhgQ7DXVVJgazVbR785zj6Hs59wyDMibQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.20%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VrOEv6IMyAg/XrkpG2xm6mI/AAAAAAALpxA/p73Imj6NEIIFdUDispxtLTqKSSeSk4PkACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.43.59%2BPM.jpeg)
Kwa upande wa hii sijui kama ni kwaajili ya kujikinga na virusi vya Covid -19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-t_ZNRmkeR2I/XrkpECLMDwI/AAAAAAALpwc/YPxScBBCSsIKlMLnjczcK0hqR7CNl1otgCLcBGAsYHQ/s640/220px-Police_officer_wearing_half-mask_respirator.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rxLK9RARBXI/XrkpHQT6ZhI/AAAAAAALpxE/mddTpgSFEe8CIqIYhxtn6L2GWMZMUbUGQCLcBGAsYHQ/s640/c0fcae80f6bfecd181dbbf9557b1a581.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xx-cXR-tpYw/XrkpFKwoSlI/AAAAAAALpwo/hcCpsAC6TqkGpE0XEDAfOUHWZPCX4zlQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.17%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JbAfiGcq__c/XrkpFnySTPI/AAAAAAALpws/msEkJML0d8cnJgPbAq5srr3UbG0zeehgACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.19%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Srpcg_z2IKE/XrkpF1EaWKI/AAAAAAALpww/GVuqKVAkwqsdu-OHEB6nZIgP1vrtfBAjQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.21%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--XTHvKahbBs/XrkpGag_t0I/AAAAAAALpw4/BE2S3FmcHh4rZ95T7iPaiFqNoWm6ajcrwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.32.23%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--LKiYxBVi0E/XrkpG_w7wII/AAAAAAALpw8/W_7BnF9pIAUK-F57IFWlq9ASfGE90QckwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.43.28%2BPM.jpeg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Zq0cm8T-zSk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jan
HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/23/150123014307_gogo_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao
TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI
10 years ago
MichuziUBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA katika MAONESHO YA Kimataifa MASCUT OMAN
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Umuhimu wa elimu ya ujasiriamali katika shule na vyuo -1