Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi

Mradi wa Kilimo cha Tangawizi wa kikundi cha ujasiriamlai chaushindi kilichopo katika kijiji cha Mkongotema kata ya Mkongotema tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea.
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mkwamba alivyoweza kujikomboa kiuchumi kwa ujasiriamali baharini

Ujasiriamali ni ubunifu wa mtu kulingana na mazingira anayoishi na kufuatia na rasilimali zinazopatikana eneo alipo na kuchangamkia fursa.

 

10 years ago

Bongo5

Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!

Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.

Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.

“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujasiriamali ni nguzo ya kumuinua kijana kiuchumi

KATIKA ulimwengu wa sasa wenye changamoto ya ukosefu wa ajira, dhana ya ujasiriamali inabaki kuwa pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi. Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujasiriamali nguzo kuu ya kiuchumi duniani

KATIKA maisha ya sasa kipato cha mtu mmoja mmoja kinazingatiwa zaidi kuliko miaka iliyopita. Hii inatokana na uchumi wa dunia umebadilika, kukosekana kwa ajira na  mitaji ya kuanzia biashara imekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma

Kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanamke huyu visiwani Zanzibar. Ilikuwa mwaka 2010, kwenye onyesho kubwa la mitindo lililoandaliwa na Nguli Mustafa Hassanali.

 

9 years ago

Mwananchi

PETRONILLAH NYAMSISA : Ubunifu ndio msingi katika ujasiriamali

Katika kuperuzi kwangu mtandao wa intanet, nakutana na bidhaa zenye nembo ya Petit. Bidhaa hizi zilizofungashwa vizuri zinajumuisha mbogamboga, matunda, nafaka lakini hata nyama, samaki na mayai.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto wa vigogo ndio wenye hatimiliki pekee CCM?

HIVI sasa kuna hekaheka za uchaguzi ndogo wa ubunge katika majimbo mawili ya uchaguzi; Kalenga (Iringa) na Chalinze (Pwani). Miongoni mwa wanaowania ubunge katika majimbo hayo ni watoto wa vigogo,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC) lahitimisha mafunzo ya wiki nane ya Ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini

IMG_0595

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini (hawapo pichani) wakati akifunga mafunzo ya wiki nane ya ujasiriamali kwa wanafunzi hao mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  Mafunzo hayo yaliendeshwa chini ya mpango wa Cambridge Development Initiative (CDI) ili kuimarisha mafunzo ya maswala ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini.  CDI ni mpango ulioasisiwa na wanafunzi wa Chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani