KATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI
Katibu Mkuu wa Divisheni ya Afrika Mashariki na kati wa Kanisa la Waadiventista Wasabato, Dkt. Nathaniel Walemba, akifungua kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la kanisa la Waadiventista Wasabato Kigamboni jana mchana, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya extra vaganza yanayoendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Divisheni ya Afrika Mashariki na kati wa Kanisa la Waadiventista Wasabato, Dkt. Nathaniel Walemba, (wa nne kutoka kushoto), akiwa katika picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Waziri Mkuu Mizengo Pinda aweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za watumishi zililizojengwa na NHC Busokelo
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda akifungua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba za gharama nafuu za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo jana.
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa NHC, Haikamen Mlekio wakati akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu za watumishi wa Halmashauri ya Wialaya ya Busokelo, Mbeya.
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, akisalimiana na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s72-c/unnamed+(58).jpg)
sherehe za kipaimara na uwekaji jiwe la msingi kwa kanisa jipya parokia ya babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s1600/unnamed+(58).jpg)
Miongoni mwa vijana 116 waliopatiwa Kipaimara na Askofu wa Jimbo la Mbulu Mkoani Manyara, Beatus Kinyaiya, kwenye kanisa la Parokia ya Roho Mtakatifu mjini Babati juzi, hapa wakipita mbele ya wageni na waumini mbalimbali wa eneo hilo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tsUdHtuhmms/U18vhxV68_I/AAAAAAAFd3U/Lhxkpjmxxyk/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-czZo4T6uVp0/U18vjzo9U3I/AAAAAAAFd3c/1C1Jvxs9qMo/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8YuAJ4r9Md8/U18vP9L78MI/AAAAAAAFd3I/KIt_m1fjEpM/s1600/unnamed+(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NOsDz0mkAX4/UySLw7EnAFI/AAAAAAAFTrM/yUbFXlH-I1k/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vJRjSkHWgFE/XmD--GsFBYI/AAAAAAALhRQ/Nawivh0m1sQmaGkhGET1HccMAhJg0A16wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI LA SHAMBA LA UFUTA LA HAYA WILAYANI KOROGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-vJRjSkHWgFE/XmD--GsFBYI/AAAAAAALhRQ/Nawivh0m1sQmaGkhGET1HccMAhJg0A16wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WizKMdDKiDQ/XmD_NagZa8I/AAAAAAALhRY/l3qBSma9Mpw8yT1rzJHGinQkDlD5beOiwCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J7y1yBHdiNE/XmD_NOIuGZI/AAAAAAALhRU/UazQlVaBZI44wni5pqAleqoqD3MfhuLFgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI WA BUNDA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgkfvmbwzoQ/VNUCE_JRwZI/AAAAAAAHCQ0/AKvsHW-aoe4/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA UTUME (MISSION EXTRAVAGANZA) ZA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgkfvmbwzoQ/VNUCE_JRwZI/AAAAAAAHCQ0/AKvsHW-aoe4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gRstGt7SCvk/VNUCEgV2oKI/AAAAAAAHCQs/Hgw9VWZdaNY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Michuzi23 Mar
MKUU WA MKOA WA NJOMBE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA TENKI LA MAJI MWONGOLO MAKETE MJINI
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi katika jengo jipya la ofisi ya TTCL, Pemba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi Shirika la Simu Tanzania TTCL, Dkt. Kamugisha Kazaura, wakati alipowasili Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Julai 3, 2015 kwa ajili ya Kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo jipya la Ofisi za shirika hilo. Katikati ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10