Ndio mzee Professor jay ft Juma nature ulikuwa wapo wimbo huu ukitamba?
![](http://img.youtube.com/vi/6XTbtN2jNM8/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Oct
Juma Nature: Kwenda international ndio nini?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TxwT6t1QJRk/default.jpg)
10 years ago
Bongo518 Aug
New Music: Inspector Haroun Ft Juma Nature — Mungu Ndio Anapanga
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Professor Jay kapita kura za maoni Ubunge huu hapa
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/PROFESSOR-JAY.jpg?resize=504%2C362)
Sasa leo Agosti 7, 2015 amekutana na ripota wa TZA na kupiga naye stori kuhusiana na mchakato wa kura za maoni jinsi ulivyofanyika.
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/PROFESSOR-JAY-22.jpg?resize=522%2C404)
10 years ago
Bongo520 Oct
Video: Hermy B awataja Fid Q, Professor Jay na Mwana FA kuwa ndio waandishi bora Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTIShNY2EfZnmAh9O3HzkENcbWXiuO5vxkyUwLMa6Q5*056Y2nr91E0agIDtXrr1XH-vJbgPV0a3j1eoEuI9K3q/KomaaCon.jpg?width=600)
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
9 years ago
Bongo527 Nov
Adam Juma atoa ushauri wa bure kwa ma-director: Ubunifu ndio utakaotuokoa katika ukame huu
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma ametumia akaunti yake Instagram kutoa ushauri wa bure kwa waongozaji wenzake.
Hiki ndicho ameandika Adam:
“Kwa madirector wadogo na wakubwa, hakuna mafanikio yanakuja kirahisi rahisi, hakuna media itakayokuokoa katika ukame wa kazi utakapo wasili. Sifa hujenga kiburi akili hujenga ustaarabu, mafanikio yako yapo mkononi mwako- hata wakishot mbinguni isiwe sababu ya ww kuacha na kutoipenda kazi yako. Simama kwenye mstari na ujiamini, usishindane...