Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stella Jairosi: Uchaguzi huu ni ‘karata’ muhimu ya kunusuru elimu

Sera mpya ya elimu na mafunzo, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, sheria za nchi na kanuni zinazogusia elimu, vinaainisha, kuhamasisha jamii ishiriki kikamilifu katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kupata fursa ya elimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars leo ina kibarua kigumu katika mechi dhidi ya Nigeria kwenye Michezo ya Afrika inayoendelea nchini Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Habarileo

Kilimanjaro Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars leo itarusha karata yake ya pili kwenye michuano ya Kombe la Chalenji itakapomenyana na Rwanda ‘Amavubi’ mjini Awassa, Ethiopia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yatupa karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatupa karata muhimu ya kuwang’oa Zimbabwe katika vita ya kuwania tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa Afrika za mwakani nchini Morocco....

 

9 years ago

Habarileo

Karata muhimu kwa Kilimanjaro Stars leo

TIMU ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kili Stars’ leo inashuka kwenye dimba la Awassa nchini Ethiopia kuwakabili wenyeji Ethiopia ukiwa ni mchezo wa robo fainali wa kusakata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Chalenji, inayoendelea nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tukiamua tunaweza kunusuru elimu

Elimu ni uti wa mgongo wa maendeleo ya jamii yoyote ile. Jamii iliyoelimika daima iko mstari wa mbele katika kupambana na maadui wakubwa ambao ni ujinga, maradhi na umaskini.

 

9 years ago

Mwananchi

Mafunzo kwa walimu kunusuru anguko la elimu

Katika miaka ya hivi karibuni, taifa limeshuhudia anguko kubwa la kiwango cha ubora wa elimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau, serikali wana mengi ya kufanya kunusuru elimu

>Hii ni wiki ya maadhimisho ya elimu. Wadau wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya wilaya na mikoa wamekuwa wakikutana kujadili hatima ya elimu nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE JAMES MBATIA ACHANGISHA FEDHA KUNUSURU ELIMU JIMBO LA VUNJO

Mbunge wa kuteuliwa akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni ;a wavulana katika shule ya sekondari Bishop Moshi.

Mkuu wa shule ya sekondari Boshop Moshi,Sophia Mushi akisoma risala mbele ya mgeni ,Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia.
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule hiyo walichangia mifuko mitatu ya Sementi ambayo walikabidhi kwa mgeni rasmi Mbunge Mbatia.
Mbunge Mbatia akichangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM : Stella Manyanya– Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi

Stella Manyanya (Mhandisi) ndiye Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani