Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tukiamua tunaweza kunusuru elimu

Elimu ni uti wa mgongo wa maendeleo ya jamii yoyote ile. Jamii iliyoelimika daima iko mstari wa mbele katika kupambana na maadui wakubwa ambao ni ujinga, maradhi na umaskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mafunzo kwa walimu kunusuru anguko la elimu

Katika miaka ya hivi karibuni, taifa limeshuhudia anguko kubwa la kiwango cha ubora wa elimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau, serikali wana mengi ya kufanya kunusuru elimu

>Hii ni wiki ya maadhimisho ya elimu. Wadau wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya wilaya na mikoa wamekuwa wakikutana kujadili hatima ya elimu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Stella Jairosi: Uchaguzi huu ni ‘karata’ muhimu ya kunusuru elimu

Sera mpya ya elimu na mafunzo, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, sheria za nchi na kanuni zinazogusia elimu, vinaainisha, kuhamasisha jamii ishiriki kikamilifu katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kupata fursa ya elimu.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE JAMES MBATIA ACHANGISHA FEDHA KUNUSURU ELIMU JIMBO LA VUNJO

Mbunge wa kuteuliwa akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni ;a wavulana katika shule ya sekondari Bishop Moshi.

Mkuu wa shule ya sekondari Boshop Moshi,Sophia Mushi akisoma risala mbele ya mgeni ,Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia.
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule hiyo walichangia mifuko mitatu ya Sementi ambayo walikabidhi kwa mgeni rasmi Mbunge Mbatia.
Mbunge Mbatia akichangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA TUNAWEZA!

Penye nia pana njia, fikiri, panga mikakati na utafaikiwa. Mzee Mengi hakuzaliwa katika familia tajiri. Alizaliwa katika familia ya mtoto kutembea pekupeku, hata kuvaa ndala ni anasa, lakini leo hii ni Bilionea. BIG UP Mzee, unaonesha njia...!

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitima: Tunaweza kuchimba gesi

WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana potofu, kwamba hawana uwezo wa kuvuna gesi kutokana na kukosa mtaji na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Tunaweza kumwacha Mwalimu apumzike?

MWAKA huu tuna kwenda kufanya uchaguzi, miaka 20 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Katika Uchaguzi huo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa ndiyo dira elekezi ya sifa za aina ya Rais tumayemtaka kwa wakati huo.

Oktoba 25, siku ya Uchaguzi Mkuu, tutakuwa tunatimiza miaka 16 na siku 11 ya Tanzania bila Baba wa taifa, hilo lakini halimaanishi kwamba hayupo kabisa kabisa, Mwalimu bado anaishi, yuko kwenye fikra zetu, kwenye mioyo yetu na kwa kweli kila mahali, watu aina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’

CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani