Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA TUNAWEZA!

Penye nia pana njia, fikiri, panga mikakati na utafaikiwa. Mzee Mengi hakuzaliwa katika familia tajiri. Alizaliwa katika familia ya mtoto kutembea pekupeku, hata kuvaa ndala ni anasa, lakini leo hii ni Bilionea. BIG UP Mzee, unaonesha njia...!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kitima: Tunaweza kuchimba gesi

WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana potofu, kwamba hawana uwezo wa kuvuna gesi kutokana na kukosa mtaji na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’

CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...

 

10 years ago

Mwananchi

Tukiamua tunaweza kunusuru elimu

Elimu ni uti wa mgongo wa maendeleo ya jamii yoyote ile. Jamii iliyoelimika daima iko mstari wa mbele katika kupambana na maadui wakubwa ambao ni ujinga, maradhi na umaskini.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Leo siku nzima kamati ya PAC ilikuwa inazungumza na Bodi ya Sukari, Wizara ya Kilimo na Wakulima wa Miwa Wilayani Kilombero. Tanzania huzalisha wastani wa tani 300,000 za Sukari kwa mwaka ilhali mahitaji ni tani 420,000 kwa mwaka. Hii hupelekea uagizaji wa Sukari kutoka nje ambao umekumbwa na malalamiko makubwa sana kutoka kwa wadau mbalimbali.

Masuala kadhaa yameibuliwa katika kikao cha leo

Wakulima wamelalamikia sana uingizaji holela wa Sukari nchini. Bei...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Tunaweza kumwacha Mwalimu apumzike?

MWAKA huu tuna kwenda kufanya uchaguzi, miaka 20 baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Katika Uchaguzi huo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa ndiyo dira elekezi ya sifa za aina ya Rais tumayemtaka kwa wakati huo.

Oktoba 25, siku ya Uchaguzi Mkuu, tutakuwa tunatimiza miaka 16 na siku 11 ya Tanzania bila Baba wa taifa, hilo lakini halimaanishi kwamba hayupo kabisa kabisa, Mwalimu bado anaishi, yuko kwenye fikra zetu, kwenye mioyo yetu na kwa kweli kila mahali, watu aina...

 

10 years ago

GPL

MOI TUNAWEZA KWA ZAIDI YA 95%

Meneja Ustawi na Mahusiano wa Taasisi ya Tiba na Mifupa ‘’MOI’’ Jumaa Almas akizungumza jambo na wanahabari (hawapo pichani). Sehemu ya bango la kituo cha MOI.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Tunaweza kuimarika 2016

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal anaamini wanaweza kutumia vyema ushindi wao dhidi ya Swansea kujiimarisha 2016.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunaweza kufanikiwa zaidi mwaka 2015

Tukiutathmini mwaka uliopita tunapaswa kupata nguvu zaidi ya kutuwezesha kufanikiwa mwaka huu. Sehemu tulizokwama au kujikwaa ziwe mafunzo ya kujiboresha zaidi na kusonga mbele kwa umakini zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dewji: Afrika tunaweza kutokomeza umaskini

MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, na Mbunge wa Singida Mjini,  Mohamed Dewji (CCM), amesema nchi za Afrika zina uwezo mkubwa wa kujikomboa katika lindi la umaskini iwapo sera nzuri zitatungwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani