Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kitima: Tunaweza kuchimba gesi

WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana potofu, kwamba hawana uwezo wa kuvuna gesi kutokana na kukosa mtaji na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kikwete-Hatuzuii Watanzania kuchimba gesi

RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali haina mpango na kamwe haiwezi kuzuia kampuni ya kitanzania au Mtanzania kushiriki utafiti na uchimbaji mafuta na gesi ingawa ni gharama. Pia Rais Kikwete amebainisha kuwa Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha Watanzania bila kujali maeneo na wa kizazi cha sasa na kijacho, wananufaika na rasilimali zote asilia za nchi, kwa kuhakikisha mapato yanayopatikana kutokana na rasilimali hizo yanafikia Watanzania wote.

 

10 years ago

Habarileo

Willy Kitima awa msaidizi wa Rais

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais (Nyaraka) kuanzia Desemba 11 mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitima: Msielekeze akili serikali tatu

MWANASHERIA na mtetezi wa haki za binadamu, Dk. Charles Kitima, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wasielekeze akili zao katika muundo wa serikali tatu huku wakisahau kujadili uchumi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.

Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA

????????????????????????????????????Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima zake katika kaburi la mdogo wake na Fadher Charles Kitima hapo jana katika kijiji cha Siuyu Singida Mashariki wakati alipohani msiba katika familia hiyo jimboni humo.  ????????????????????????????????????
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA TUNAWEZA!

Penye nia pana njia, fikiri, panga mikakati na utafaikiwa. Mzee Mengi hakuzaliwa katika familia tajiri. Alizaliwa katika familia ya mtoto kutembea pekupeku, hata kuvaa ndala ni anasa, lakini leo hii ni Bilionea. BIG UP Mzee, unaonesha njia...!

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari

Leo siku nzima kamati ya PAC ilikuwa inazungumza na Bodi ya Sukari, Wizara ya Kilimo na Wakulima wa Miwa Wilayani Kilombero. Tanzania huzalisha wastani wa tani 300,000 za Sukari kwa mwaka ilhali mahitaji ni tani 420,000 kwa mwaka. Hii hupelekea uagizaji wa Sukari kutoka nje ambao umekumbwa na malalamiko makubwa sana kutoka kwa wadau mbalimbali.

Masuala kadhaa yameibuliwa katika kikao cha leo

Wakulima wamelalamikia sana uingizaji holela wa Sukari nchini. Bei...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani