Kitima: Tunaweza kuchimba gesi
WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana potofu, kwamba hawana uwezo wa kuvuna gesi kutokana na kukosa mtaji na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Jan
Kikwete-Hatuzuii Watanzania kuchimba gesi
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali haina mpango na kamwe haiwezi kuzuia kampuni ya kitanzania au Mtanzania kushiriki utafiti na uchimbaji mafuta na gesi ingawa ni gharama. Pia Rais Kikwete amebainisha kuwa Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha Watanzania bila kujali maeneo na wa kizazi cha sasa na kijacho, wananufaika na rasilimali zote asilia za nchi, kwa kuhakikisha mapato yanayopatikana kutokana na rasilimali hizo yanafikia Watanzania wote.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Willy Kitima awa msaidizi wa Rais
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais (Nyaraka) kuanzia Desemba 11 mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Kitima: Msielekeze akili serikali tatu
MWANASHERIA na mtetezi wa haki za binadamu, Dk. Charles Kitima, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wasielekeze akili zao katika muundo wa serikali tatu huku wakisahau kujadili uchumi wa...
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.
Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb0ZorDlcEQ/VhH6VL6vWZI/AAAAAAADAPw/S36MPp2EIOQ/s72-c/_MG_2406.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/76.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb0ZorDlcEQ/VhH6VL6vWZI/AAAAAAADAPw/S36MPp2EIOQ/s640/_MG_2406.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/86.jpg)
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m
Mwandishi Wetu
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx-86xUrDzM156fNXZGDlHHs8NcnSXLBPNw20VlY004uYM8D3I95F7biGSUuP6IzpsB0i2sZEVLTMKyAwGa*07bC/10402441_10154212434270577_6392459384565989146_n.jpg)
WATANZANIA TUNAWEZA!
10 years ago
Zitto Kabwe, MB09 Jan
Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari
Tunaweza kujitosheleza kwa Sukari
Leo siku nzima kamati ya PAC ilikuwa inazungumza na Bodi ya Sukari, Wizara ya Kilimo na Wakulima wa Miwa Wilayani Kilombero. Tanzania huzalisha wastani wa tani 300,000 za Sukari kwa mwaka ilhali mahitaji ni tani 420,000 kwa mwaka. Hii hupelekea uagizaji wa Sukari kutoka nje ambao umekumbwa na malalamiko makubwa sana kutoka kwa wadau mbalimbali.
Masuala kadhaa yameibuliwa katika kikao cha leo
Wakulima wamelalamikia sana uingizaji holela wa Sukari nchini. Bei...