Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mwanza wanamtaka rais atakayefanya nini?
10 years ago
Habarileo19 Dec
Willy Kitima awa msaidizi wa Rais
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais (Nyaraka) kuanzia Desemba 11 mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.
Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi
RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
‘Tunataka rais mwenye hofu ya Mungu’
Na Debora Sanja, Dodoma
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, lazima awe na hofu ya Mungu.
Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya.
Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu, lazima pia aweze kuongoza nchi bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote.
“Wakati tunapoelekea katika...
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu
RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak
Joseph Mihangwa
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...