Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanza wanamtaka rais atakayefanya nini?

Khadija Liganga ni mama mjasiriamali na shabiki wa soka Mwanza na hapa anasimulia mambo ambayo angelipenda kiongozi mpya kuangazia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Kitima: Tunataka Rais atakayefanya uamuzi kwa kutumia nyongo

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, Mwandishi Wetu Deus Bugaywa, amefanya mahojiano na aliyekuwa makamu m

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa.

Makufuli akumbana na wakati mgumu mbeya ya zomea zomea nakuonyeshwa sign za Chadema na kuiba Kwa kelele Luwassa Luwassa . Sunday, September 27, 2015 Bonyeza vidio

The post Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA, MCHUNGAJI JOHN BUNANGO, JIJINI MWANZA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana nabaadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika jijini humo leo mchana. Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?

Bashir na wengine wanatuhumiwa na makossa mabaya ya uhalifu katika mzozo wa jimbo la magharibi la Darfur ambao ulianza 2003.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amekutana na Ukawa kujadili nini?

Licha ya Rais Jakaya Kikwete kuamua kwa dhati kuuanzisha mchakato wa Katiba, hali iliyopo sasa inaonekana haiendani na dhamira hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini rais ajaye awe mwanamke

Wanaharakati nchini wamesema rais ajaye anaweza kuwa mwanamke kutokana na sababu kadhaa, ikiwamo wingi na hamasa waliyonayo wanawake katika upigaji kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali halisi ya nchi na rais tunaye mtaka, Taifa lifanye nini?

Wengi mtakubaliana nami kwamba kinyang’anyiro cha kumtafuta mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi kimekwenda kwenye kiwango kingine kabisa, na hasa ukizingatia mpaka sasa kuna makada zaidi ya 30 ambao wameonyesha nia ya kuomba ridhaa ya chama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani