Hali halisi ya nchi na rais tunaye mtaka, Taifa lifanye nini?
Wengi mtakubaliana nami kwamba kinyang’anyiro cha kumtafuta mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi kimekwenda kwenye kiwango kingine kabisa, na hasa ukizingatia mpaka sasa kuna makada zaidi ya 30 ambao wameonyesha nia ya kuomba ridhaa ya chama
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yakiri ukuaji wake wa uchumi wa taifa hauendani na hali halisi ya wananchi
Serikali imesema Uchumi wa Taifa umekuwa kwa asilimia saba kwa kipindi kilichopita ila kutokana na sera ya kuwekeza kwenye vitu visivyohusisha wananchi moja kwa moja kumepelekea ukuaji huo kutooneka wazi.
Kutokana na mchango wa pato la Taifa kwa Watanzania ambalo ni asilimia 70 waliopo vijijini na mashambani imebainika kuwa na mchango mdogo.
Katika maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha , Naibu katibu Mkuu Professa Aldof Mkenda amesema, kwa...
5 years ago
Michuzi
HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI: RC MTAKA

Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyukwenda jijini Dar es Salaam leo Aprili 17, 2020 wakati wa kuhamasisha zoezi endelevu la upuliziaji dawa katika magari ya abiria ambalo limekuwa likifanyika katika kituo cha Mabasi cha Somanda Mjini Bariadi na Vituo vingine ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.

10 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi
11 years ago
Mwananchi03 Nov
Ndanda FC, Mbeya City mkubali hali halisi
10 years ago
Michuzi
5 years ago
Michuzi
KUTOKA MTAANI KWETU HALI HALISI NDANI YA KARIAKOO



Hali halisi
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mikakati ya kiuchumi ya Maghufuli inavyogusa hali halisi ya Tanzania
10 years ago
Michuzi
KUSHUKA KWA MAFUTA KUENDANE NA HALI HALISI YA BIDHAA ZINGINE - SIMBACHAWENE
Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene amesema kushuka kwa bei ya mafuta kuendane na hali halisi ya vitu vyote vinavyotumia nishati hiyo.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam wakati alipokutana na wadau wa mafuta kupata mawazo katika uendeshaji wa sekta hiyo,Simbachawene amesema kuwa kushuka kwa mafuta hata nauli ya kusafiri kwa daladala pamoja na mabasi ya mikoani na nje ya nchi ni lazima zishuke.
Simbachawene amesema watanzania wanataka kuona kushuka kwa...
11 years ago
Michuzi.png)
HIVI NDIVYO HALI HALISI ILIVYO VIJIJI VYA MAGOWE NA MATETENI MJINI MOROGORO BAADA YA MAFURIKO MAKUBWA
.png)
.png)
.png)