Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati ya kiuchumi ya Maghufuli inavyogusa hali halisi ya Tanzania

Miaka nenda miaka rudi,  Tanzania imeendelea kuhesabika miongoni mwa nchi maskini kabisa duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LAWAJENGA WAUMINI WAKE KIUCHUMI

Katika ibada ya Jumapili iliyopita, Kanisa Halisi la Mungu Baba, lilitumia ibada hiyo kufanya maonyesho makubwa ya bidhaa na huduma mbalimbali. ibada hiyo kwa mujibu wa Kanisa hilo inaitwa 'Mauzo ya Uzalishaji'.  mtiririko w ibada hiyo iliyoongozwa na Kiongozi wa Kanisa hilo Baba wa Uzao, ni ifuatayo;

KWA NINI IBADA NI UZALISHAJI?

UFUNGUO:
Katika Mathayo 21:13 Yesu aliwaambia watu aliowakuta wanafanyia biashara hekalumi kwamba; “Nyumba yangu itakuwa Nyumba ya Sala, lakini nyie mumeifanya kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mikakati, mipango ya muda mrefu chanzo cha mafanikio ya kiuchumi

Kwa nchi yoyote ili iendelee, mikakati na mipango ya muda mrefu inatakiwa kuwekezwa ikiwamo rasilimali watu, utawala bora, mazingira mazuri na utulivu wa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC, Mbeya City mkubali hali halisi

Ninawakaribisha katika kona hii ya hoja kuzungumza machache kuhusiana na michezo yetu. Tanzania ni nchi yenye watu zaidi ya 45 milioni kwa mujibu wa sensa ya 2012, lakini inashangaza hatuna hata maendeleo katika mchezo wowote.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 itaanza kujadiliwa wiki ijayo baada ya kusomwa bungeni mwishoni mwa wiki na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na baadaye Spika Anne Makinda kutoa siku za wabunge kuisoma kabla ya kuanza kuijadili.

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU HALI HALISI NDANI YA KARIAKOO

 Kutokana na Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani wauzaji wa Madafu wa kariakoo wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, wamepunguza bei kutoka shilingi 1000,hadi 500. kama unavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Mjasiriamali wa Madafu wa Kariakoo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo Dafu moja kwa sasa  limauzwa shilingi 500.
Hali halisi

 

10 years ago

Michuzi

Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi

Katibu mpya wa Yanga Dk. Jonas Tiboroha, ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha Yanga inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...

 

10 years ago

Michuzi

KUSHUKA KWA MAFUTA KUENDANE NA HALI HALISI YA BIDHAA ZINGINE - SIMBACHAWENE

Na Chalila Kibuda
Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene amesema kushuka kwa bei ya mafuta kuendane na hali halisi ya vitu vyote vinavyotumia nishati hiyo.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam wakati alipokutana na wadau wa mafuta kupata mawazo katika uendeshaji wa sekta hiyo,Simbachawene amesema kuwa kushuka kwa mafuta hata nauli ya kusafiri kwa daladala pamoja na mabasi ya mikoani na nje ya nchi ni lazima zishuke.
Simbachawene amesema watanzania wanataka kuona kushuka kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Hali halisi ya nchi na rais tunaye mtaka, Taifa lifanye nini?

Wengi mtakubaliana nami kwamba kinyang’anyiro cha kumtafuta mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi kimekwenda kwenye kiwango kingine kabisa, na hasa ukizingatia mpaka sasa kuna makada zaidi ya 30 ambao wameonyesha nia ya kuomba ridhaa ya chama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani