Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 itaanza kujadiliwa wiki ijayo baada ya kusomwa bungeni mwishoni mwa wiki na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na baadaye Spika Anne Makinda kutoa siku za wabunge kuisoma kabla ya kuanza kuijadili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KUSHUKA KWA MAFUTA KUENDANE NA HALI HALISI YA BIDHAA ZINGINE - SIMBACHAWENE

Na Chalila Kibuda
Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene amesema kushuka kwa bei ya mafuta kuendane na hali halisi ya vitu vyote vinavyotumia nishati hiyo.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam wakati alipokutana na wadau wa mafuta kupata mawazo katika uendeshaji wa sekta hiyo,Simbachawene amesema kuwa kushuka kwa mafuta hata nauli ya kusafiri kwa daladala pamoja na mabasi ya mikoani na nje ya nchi ni lazima zishuke.
Simbachawene amesema watanzania wanataka kuona kushuka kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo

DSC_0540

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake  ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...

 

11 years ago

GPL

WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO‏

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC, Mbeya City mkubali hali halisi

Ninawakaribisha katika kona hii ya hoja kuzungumza machache kuhusiana na michezo yetu. Tanzania ni nchi yenye watu zaidi ya 45 milioni kwa mujibu wa sensa ya 2012, lakini inashangaza hatuna hata maendeleo katika mchezo wowote.

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU HALI HALISI NDANI YA KARIAKOO

 Kutokana na Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani wauzaji wa Madafu wa kariakoo wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, wamepunguza bei kutoka shilingi 1000,hadi 500. kama unavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Mjasiriamali wa Madafu wa Kariakoo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo Dafu moja kwa sasa  limauzwa shilingi 500.
Hali halisi

 

9 years ago

Mwananchi

Mikakati ya kiuchumi ya Maghufuli inavyogusa hali halisi ya Tanzania

Miaka nenda miaka rudi,  Tanzania imeendelea kuhesabika miongoni mwa nchi maskini kabisa duniani.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali halisi ya nchi na rais tunaye mtaka, Taifa lifanye nini?

Wengi mtakubaliana nami kwamba kinyang’anyiro cha kumtafuta mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi kimekwenda kwenye kiwango kingine kabisa, na hasa ukizingatia mpaka sasa kuna makada zaidi ya 30 ambao wameonyesha nia ya kuomba ridhaa ya chama

 

9 years ago

StarTV

Serikali yakiri ukuaji wake wa uchumi wa taifa hauendani na hali halisi ya wananchi

Serikali imesema Uchumi wa Taifa umekuwa kwa asilimia saba kwa kipindi kilichopita ila kutokana na sera ya kuwekeza kwenye vitu visivyohusisha wananchi moja kwa moja kumepelekea ukuaji huo kutooneka wazi.

Kutokana na mchango wa pato la Taifa kwa Watanzania ambalo ni asilimia 70 waliopo vijijini na mashambani imebainika kuwa na mchango mdogo.

Katika maadhimisho ya  siku ya Takwimu Afrika, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha , Naibu katibu Mkuu Professa Aldof Mkenda amesema, kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani