MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi
Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 itaanza kujadiliwa wiki ijayo baada ya kusomwa bungeni mwishoni mwa wiki na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na baadaye Spika Anne Makinda kutoa siku za wabunge kuisoma kabla ya kuanza kuijadili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5abrNsT3v4E/VNtnHv2YHMI/AAAAAAAHDF8/X3FDA-JZhqY/s72-c/DSC_0645.jpg)
KUSHUKA KWA MAFUTA KUENDANE NA HALI HALISI YA BIDHAA ZINGINE - SIMBACHAWENE
Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene amesema kushuka kwa bei ya mafuta kuendane na hali halisi ya vitu vyote vinavyotumia nishati hiyo.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam wakati alipokutana na wadau wa mafuta kupata mawazo katika uendeshaji wa sekta hiyo,Simbachawene amesema kuwa kushuka kwa mafuta hata nauli ya kusafiri kwa daladala pamoja na mabasi ya mikoani na nje ya nchi ni lazima zishuke.
Simbachawene amesema watanzania wanataka kuona kushuka kwa...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0540.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Ndanda FC, Mbeya City mkubali hali halisi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--pI3tsZjo1I/XrbPpKxS6GI/AAAAAAAAHJs/8i6Q60cIOKMxoknSsrcZJlDheLwRqy3VwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200507_114612%25280%2529.jpg)
KUTOKA MTAANI KWETU HALI HALISI NDANI YA KARIAKOO
![](https://1.bp.blogspot.com/--pI3tsZjo1I/XrbPpKxS6GI/AAAAAAAAHJs/8i6Q60cIOKMxoknSsrcZJlDheLwRqy3VwCLcBGAsYHQ/s640/20200507_114612%25280%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKrV9T0BLJ8/XrbPpONoPUI/AAAAAAAAHJo/UCtKjtLPRPE7j0qjS_U1jT6tu08isrtSwCEwYBhgL/s640/20200507_111913.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lt5QtGZ8V10/XrbPo1bSCwI/AAAAAAAAHJk/LMPK1nX2RXEQfwA29fuXMtmCrJvF6VGjgCEwYBhgL/s640/20200507_111843.jpg)
Hali halisi
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mikakati ya kiuchumi ya Maghufuli inavyogusa hali halisi ya Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0a_JeubrWUU/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Hali halisi ya nchi na rais tunaye mtaka, Taifa lifanye nini?
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yakiri ukuaji wake wa uchumi wa taifa hauendani na hali halisi ya wananchi
Serikali imesema Uchumi wa Taifa umekuwa kwa asilimia saba kwa kipindi kilichopita ila kutokana na sera ya kuwekeza kwenye vitu visivyohusisha wananchi moja kwa moja kumepelekea ukuaji huo kutooneka wazi.
Kutokana na mchango wa pato la Taifa kwa Watanzania ambalo ni asilimia 70 waliopo vijijini na mashambani imebainika kuwa na mchango mdogo.
Katika maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha , Naibu katibu Mkuu Professa Aldof Mkenda amesema, kwa...