Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu
RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak
Joseph Mihangwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Kashfa ufisadi CCM
SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kashfa nzito ya ufisadi Moshi
10 years ago
Mwananchi07 Mar
JK akana kuyumbishwa na kashfa za ufisadi
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s72-c/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s400/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7zsaeBgLMw/VW3retfdFmI/AAAAAAAAB4M/4VXz4CMEQe0/s640/CGGF8qHWIAAPXh4.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 May
Ufisadi huu sasa kiama
9 years ago
Raia Mwema04 Nov
Tukichekea ufisadi huu, yatatukuta ya Zaire ya Mobutu Seseko
SASA ni dhahiri kwamba uchumi wa nchi yetu unaporwa.
Joseph Mihangwa
10 years ago
Mtanzania19 Jan
‘Tunataka rais mwenye hofu ya Mungu’
Na Debora Sanja, Dodoma
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, lazima awe na hofu ya Mungu.
Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya.
Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu, lazima pia aweze kuongoza nchi bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote.
“Wakati tunapoelekea katika...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/YmAO0cgH6X0/default.jpg)