TANGA #LIVE: UFISADI WA KUTISHA UNARIPOTIWA MBELE YA WAZIRI MKUU MUDA HUU
![](https://img.youtube.com/vi/YmAO0cgH6X0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKHADIJA KOPA AKIFANYA YAKE MUDA HUU DAR LIVE
11 years ago
Michuzi25 Apr
JK AKIONGEA MUDA HUU LIVE UKUMBI WA PTA SABASABA DAR ES SALAAM
KUFUATILIA MATANGAZO HAYA BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo22 Oct
Ufisadi wa kutisha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benja%20-Majura-0ctober22-2014.jpg)
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), Bodi ya Korosho, Mamlaka ya...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
LIVE!! Rais Magufuli anahutubia Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania muda huu Dodoma!
Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akihutubia Bunge muda huu kutoka Bungeni Dodoma.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk. John Magufuli anaelezea kuwa mambo yote vipolo atayatatua na kuifaya Tanzania kufikia malengo yake.
Miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na suala la Katiba mpya ambayo amekili kuachiwa kiporo hivyo ataifanyia kazi ilikuikamilisha.
Suala la Muungano anaahidi kulifanyia kazi na kulitatua.
Awali:
Baada ya Rais kuingia Bungeni...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Ufisadi wa kutisha waibuliwa
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Mwigulu afichua ufisadi wa kutisha Hazina
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Jonas Mushi na Raphael Nolescus (TUDARCO), Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wameokoa zaidi ya Sh bilioni 40 zilizokuwa zilipwe kama mshahara wa mwezi uliopita kwa watumishi hewa 14,074 wa umma.
Pamoja na hilo, pia alisema Serikali itakuwa makini katika ulipaji wa madeni kwani tayari wamebaini kuwepo kwa madeni yasiyo sahihi ambapo katika deni la Serikali la shilingi bilioni 500 wamegundua deni sahihi ni shilingi bilioni...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Ufisadi wa kutisha kwenye vyama vya ushirika nchini