‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’
CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s72-c/shishi.jpg)
SHILOLE AAHIDI KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI 2020 KUPITIA JUKWAA LA TUNAWEZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s1600/shishi.jpg)
Na Khadija Seif, Michuzi tv
MSANII wa Bongofleva Zuwena Mohammed a.k.a Shilole (pichani) amejipanga kutengeneza baba Bora 2020 na kupunguza vifo vya wakina mama kupitia jukwaa la "Tunaweza.
Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es salaam wakati akitangazwa rasmi kuwa balozi wa jukwaa la "Tunaweza" kupitia taasisi ya Smart Generation inayolenga kutoa elimu pamoja na kubadili mitazamo mibaya kwa vijana pamoja na jamii kwa ujumla Shilole amesema akiwa kama mama yupo tayari kupunguza idadi...
11 years ago
Habarileo22 Jul
JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini
RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.
11 years ago
Habarileo04 Jan
Unguja wafanikiwa kupunguza kasi ya kutelekeza wake
MKUU wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja, Khamis Jabir amesema wamepiga hatua kubwa ya kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ya wanaume juu ya kuepuka matukio ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanaume ikiwemo kutelekeza wake na watoto.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Zantel kupunguza ajali za bodaboda
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Polisi wajipanga kupunguza ajali
JESHI la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limeweka mikakati ya kupunguza ajali za barabarani zinazozidi kuongezeka kutokana na uzembe wa madereva wachache mkoani hapa. Akizungumza na Tanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzVMgKPH5KfW2qNtgOPmGX90YsRKuio1Q7BYKMdgdXbNgAOAfZSOhOVYfFRWz8ziav6Rb8oVEof19TnECdhnjScB/1a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI, WATOTO
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tehama inaweza kupunguza ajali za barabarani
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Kimomogoro apambanua mbinu za kupunguza ajali
“SERIKALI haiwezi kufanikiwa kupata suluhisho la ajali za barabarani bila kuwashirikisha wananchi ambao ndiyo waathirika wakuu wa ajali hizo. “Itakuwa ni kujidanganya kutegemea tume au vikosi kazi, (task force) vinavyoundwa...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Utafiti usaidie kupunguza ajali za barabarani