Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimomogoro apambanua mbinu za kupunguza ajali

“SERIKALI haiwezi kufanikiwa kupata suluhisho la ajali za barabarani bila kuwashirikisha wananchi ambao ndiyo waathirika wakuu wa ajali hizo. “Itakuwa ni kujidanganya kutegemea tume au vikosi kazi, (task force) vinavyoundwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wajipanga kupunguza ajali

JESHI la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limeweka mikakati ya kupunguza ajali za barabarani zinazozidi kuongezeka kutokana na uzembe wa madereva wachache mkoani hapa. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’

CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zantel kupunguza ajali za bodaboda

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti usaidie kupunguza ajali za barabarani

Takribani watu 300 hupoteza maisha kila mwezi kutokana na ajali za barabarani. Maelfu ya Watanzania wamepata ulemavu na kuziacha familia zao zikiteseka kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Mwananchi

Tehama inaweza kupunguza ajali za barabarani

Siku chache zilizopita nilikuwa nikisafiri kwa basi katika nchi moja jirani na Tanzania. Safari hiyo ilikuwa ya masafa marefu kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Tafiti za wataalamu zitusaidie kupunguza ajali za barabarani-2

Hoja yangu wiki iliyopita ilihusu mjadala wa ajali za barabarani ambazo zinaendelea kupoteza maisha ya maelfu ya Watanzania kila kukicha. Nilisema kuwa takwimu za Jeshi la Polisi zinaonyesha takriban watu 300 hupoteza maisha kila mwezi kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani

Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.

Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...

 

10 years ago

Michuzi

DerevaMakini: Tujadili namna ya kupunguza ajali za mabasi ya abiria (I)

Na Dotto Kahindi.Nianze kwa kuwasalimu na kutoa shukran zangu kwa Blogu hii kwa kunipa nafasi ya kuwasilisha hoja yangu ambayo inalenga kuishirikisha jamii katika kupata suluhisho la ajali za barabarani ambazo zimekuwa ni janga kubwa la kitaifa.Mara kadhaa niliwahi kusikia takwimu za vifo vinavyotokana na magonjwa mbalimbali yakiwemo UKIMWI, Malaria, Vifo vya mama wajawazito n.k, na vifo hivi vilitia uchungu sana kwa jamii kiasi kampeni kadhaa zilianzishwa ili kupunguza vifo hivyo au...

 

10 years ago

Michuzi

Mjadala: kifanyike nini kupunguza ama kukomesha ajali barabarani??

Taswira hii inayosambaa kila pembe katika mitandao ya jamii na Globu ya Jamii kuipata ndiyo chachu ya mjadala wetu ambao mdau unaombwa kuchangia bila kuchafua hali ya hewa. Ukweli ni kwamba THIS IS TOO MUCH! Ni lazima kifanyike kitu ama lifanyike jambo kukomesha maafa ya kila mara nchini kutokana na ajali za barabarani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani