Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani

Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.

Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Jamii yatakiwa kupunguza dawa za kulevya

JAMII imetakiwa kupambana na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya, ambazo zimekuwa zikiathiri nguvu kazi kwa vijana.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti usaidie kupunguza ajali za barabarani

Takribani watu 300 hupoteza maisha kila mwezi kutokana na ajali za barabarani. Maelfu ya Watanzania wamepata ulemavu na kuziacha familia zao zikiteseka kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Mwananchi

Tehama inaweza kupunguza ajali za barabarani

Siku chache zilizopita nilikuwa nikisafiri kwa basi katika nchi moja jirani na Tanzania. Safari hiyo ilikuwa ya masafa marefu kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Tafiti za wataalamu zitusaidie kupunguza ajali za barabarani-2

Hoja yangu wiki iliyopita ilihusu mjadala wa ajali za barabarani ambazo zinaendelea kupoteza maisha ya maelfu ya Watanzania kila kukicha. Nilisema kuwa takwimu za Jeshi la Polisi zinaonyesha takriban watu 300 hupoteza maisha kila mwezi kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Michuzi

Mjadala: kifanyike nini kupunguza ama kukomesha ajali barabarani??

Taswira hii inayosambaa kila pembe katika mitandao ya jamii na Globu ya Jamii kuipata ndiyo chachu ya mjadala wetu ambao mdau unaombwa kuchangia bila kuchafua hali ya hewa. Ukweli ni kwamba THIS IS TOO MUCH! Ni lazima kifanyike kitu ama lifanyike jambo kukomesha maafa ya kila mara nchini kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Warsha ya kupunguza vifo na majeruhi wa ajali za Barabarani yafanyika jijini Dar

????????????????????????????????????

Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam.

????????????????????????????????????

Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania, akiwasilisha mada katika warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

???????????????????????????????????? Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam.????????????????????????????????????Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania akiwasilisha mada katika warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo...

 

10 years ago

GPL

WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM‏

Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam. Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania akiwasilisha mada katika...

 

11 years ago

Habarileo

BoT yatakiwa kupunguza riba kwa mabenki

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi ameomba menejimenti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuangalia uwezekano wa kupunguza riba kwa benki za kawaida, zinazotoa mikopo kwa wajasiriamali na wananchi wa kawaida.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani