Polisi wajipanga kupunguza ajali
JESHI la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limeweka mikakati ya kupunguza ajali za barabarani zinazozidi kuongezeka kutokana na uzembe wa madereva wachache mkoani hapa. Akizungumza na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wajipanga kupunguza vifo
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Polisi wajipanga kukomesha mauaji ya vikongwe
JESHI la Polisi nchini lipo katika hatua za mwisho kukamilisha mikakati ya kuanzisha mradi wa Vikongwe na Makazi salama ili kuwanusuru wazee wanaouawa kutokana na imani potofu za kishirikina. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s72-c/Police1.jpg)
POLISI WAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s1600/Police1.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo aliyasema jana wakati akifunga semina ya mafunzo ya siku tano yaliyotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wadau wa Jeshi hilo katika mkoa wa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
‘Tunaweza kupunguza kasi ya ajali’
CHAMA cha Kutetea Abiria nchini (Chakua), kimesema kinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ajali ndani ya miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa chama...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Zantel kupunguza ajali za bodaboda
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Kimomogoro apambanua mbinu za kupunguza ajali
“SERIKALI haiwezi kufanikiwa kupata suluhisho la ajali za barabarani bila kuwashirikisha wananchi ambao ndiyo waathirika wakuu wa ajali hizo. “Itakuwa ni kujidanganya kutegemea tume au vikosi kazi, (task force) vinavyoundwa...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tehama inaweza kupunguza ajali za barabarani
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Utafiti usaidie kupunguza ajali za barabarani
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani
Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.
Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...