Polisi wajipanga kukomesha mauaji ya vikongwe
JESHI la Polisi nchini lipo katika hatua za mwisho kukamilisha mikakati ya kuanzisha mradi wa Vikongwe na Makazi salama ili kuwanusuru wazee wanaouawa kutokana na imani potofu za kishirikina. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s72-c/Police1.jpg)
POLISI WAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s1600/Police1.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo aliyasema jana wakati akifunga semina ya mafunzo ya siku tano yaliyotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wadau wa Jeshi hilo katika mkoa wa...
10 years ago
StarTV04 Mar
Polisi Dodoma yashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya vikongwe.
Na Joyce Mwakalinga,
Dodoma.
Watu wanne akiwemo Mweyekiti wa Kijiji cha Ihanda tarafa ya Mlali wilayani Kongwa mkoani Dodoma wanashikiliwa na Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kushiriki katika mauaji ya vikongwe kwa imani za kishirikina.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi Mwandamizi wa Polisi David Misime, vikongwe watatu waliuawa Machi Mosi mwaka huu kwa madai ya kushiriki kuzuia mvua isinyeshe kijijini hapo kwa njia za kishirikina.
Vikongwe hao ni pamoja...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mauaji ya vikongwe yatakoma Tanzania?
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Mauaji ya vikongwe yamuumiza Liana
MAUAJI ya vikongwe wilayani Magu, Mwanza yametajwa kuwa chanzo cha jamii kuishi kwa hofu ya usalama wa maisha yao jambo linalosononesha. Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana, aliyasema hayo...
11 years ago
Mwananchi05 May
Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Mamaja wataka mauaji ya vikongwe yatokomezwe Geita
KIKUNDI cha mahusiano na mawasiliano ya jamii (Mamaja Group), cha mjini hapa kimeitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe yanayosababishwa na imani za kishirikina, urithi na migogoro...
10 years ago
MichuziSUNGUSUNGU WA MANISPAA YA SHINYANGA WAPEWA PIKIPIKI KUKABILIANA NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE
Zoezi la makabidhiano limefanyika katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga mgeni rasmi akiwa ni mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Josephine Matiro ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya