Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya
Habari za mauaji baina ya wakulima na wafugaji zimeendelea kutawala katika vyombo vya habari nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Serikali imeshindwa kukomesha mapigano haya?
KWA mara nyingine yamezuka mapigano baina ya wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai katika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Vurugu hizo zinadaiwa kuzuka jana asubuhi baada ya wakulima kuamua...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Polisi wajipanga kukomesha mauaji ya vikongwe
JESHI la Polisi nchini lipo katika hatua za mwisho kukamilisha mikakati ya kuanzisha mradi wa Vikongwe na Makazi salama ili kuwanusuru wazee wanaouawa kutokana na imani potofu za kishirikina. Akizungumza...
9 years ago
Habarileo16 Oct
‘Tanzania inachukua hatua kukomesha mauaji ya albino’
MWAKILISHI wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN), Balozi Tuvako Manongi amesema, hatua stahiki zinaendelea kuchukuliwa dhidi ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), tofauti na inavyofikiriwa na baadhi ya watu.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
MAONI: Tumsaidie Rais kudhibiti na kukomesha mauaji ya albino
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
JK awataka viongozi wa dini kusaidiana katika kukomesha mauaji ya Albino nchini
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa salamu zake za pongezi muda mfupi baada ya kumalizika kwa ibada ya kumweka wakfu askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu katika Kanisa Kuu Parokia ya Mama Mwenye Huruma Ngokolo Mjini Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hajaletewa majina ya watu 16 waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya maalbino nchini kwa sababu safari ya kisheria ya majina hayo kufikishwa kwake ni...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Jamii itoe ushirikiano kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi nchini katika kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wote walioshiriki mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Pereira Silima (pichani) bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mhe. Al -Shaimaa Kwegyir, Mbunge wa Viti Maalum aliyehoji kuchelewa kwa taarifa ya kupatikana kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mauaji haya ya watu yakomeshwe
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mauaji haya ya Kiteto, DC Umbula anangoja nini?
RAIS Jakaya Kikwete sina hakika kama unajua kwamba wananchi takribani 30 wameshapoteza maisha wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara. Wafugaji na wakulima wanauana kwa sababu ya chuki za kibaguzi zinazodaiwa kupandikizwa...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya
TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...