Mauaji haya ya watu yakomeshwe
Katika gazeti hili leo, kuna habari inayomhusu mwanamke wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala aliyeuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mauaji haya ya Kiteto, DC Umbula anangoja nini?
RAIS Jakaya Kikwete sina hakika kama unajua kwamba wananchi takribani 30 wameshapoteza maisha wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara. Wafugaji na wakulima wanauana kwa sababu ya chuki za kibaguzi zinazodaiwa kupandikizwa...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya
TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsqSwlMSTyRZTX1ES6AEPmY1Ui0bb-V-mxX3udTzuw-kIiom8SzKJopgt5oAvdj-1m3WemjIcaPLHZaSwbC9l2c/albino.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yakomeshwe
NDANI ya jamii ya Kitanzania kumejengeka utamaduni wa wananchi kujichukulia sheria mikononi katika mambo mbalimbali.
Miongoni mwa hayo ni yale ya kuwaua wahalifu baadhi kwa kuchomwa moto na wengine kuamua kufunga barabara kwa saa kadhaa baada ya ajali kutokea.
Bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na vitendo hivyo, matukio hayo ni kama yamezoeleka ndani ya jamii.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jana kilisema hali...
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Watu 20 wanaochochea mauaji C.A.R
9 years ago
Bongo527 Aug
Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Haya Ndio Maelezo ya JB Kuhusu Watu Wanaotaka Kuigiza Naye
Habari,mara nyingi nimekuwa nikipokea maombi ya watu kutaka kuigiza, jamani kuna team ya ma director ndio wanafanya kazi hii sio mimi, na hawawezi kukuchagua kwa kusema tu, mpaka wakuone ukiigiza mahali nawavutiwe.
Please anza hata kwenye tamthilia.naamini wapo waigizaji wengi wenye vipaji lakini ni lazima uanzie sehemu kabla ya kufika kwetu.asante. JB ameandika haya kwenye ukurasa mtandaoni.