Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji haya ya watu yakomeshwe

Katika gazeti hili leo, kuna habari inayomhusu mwanamke wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala aliyeuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya

Habari za mauaji baina ya wakulima na wafugaji zimeendelea kutawala katika vyombo vya habari nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji haya ya Kiteto, DC Umbula anangoja nini?

RAIS Jakaya Kikwete sina hakika kama unajua kwamba wananchi takribani 30 wameshapoteza maisha wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara. Wafugaji na wakulima wanauana kwa sababu ya chuki za kibaguzi zinazodaiwa kupandikizwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya

TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!

KWA mara nyingine, nchi imejikuta katika aibu nyingine ya mauaji ya kutisha dhidi ya mtoto mdogo mwenye ulemavu wa ngozi, wanaojulikana kama Albino, Yohana Bahati (1) siyo pichani yaliyotokea huko Geita hivi karibuni. Huu ni mwendelezo wa mauaji ya jamii hii ya watu, ambao kwa miaka mingi sasa, wanasadikika kuwa chanzo cha unafuu wa maisha kwa baadhi yetu.Yapo madai kwamba baadhi ya viungo vya Albino, vinawapa utajiri au nafasi...

 

9 years ago

Mwananchi

Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe

Uhai wa Mtanzania mmoja umepotea katika Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro. Ni kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji. Katika mapigano hayo, watu wengine wanne akiwamo askari, walijeruhiwa huku zaidi ng’ombe 72 wakiuawa.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yakomeshwe

NDANI ya jamii ya Kitanzania kumejengeka utamaduni wa wananchi kujichukulia sheria mikononi katika mambo mbalimbali.

Miongoni mwa hayo ni yale ya kuwaua wahalifu baadhi kwa kuchomwa moto na wengine kuamua kufunga barabara kwa saa kadhaa baada ya ajali kutokea.

Bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na vitendo hivyo, matukio hayo ni kama yamezoeleka ndani ya jamii.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jana kilisema hali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wanaochochea mauaji C.A.R

Marais 2 wa CAR miongoni mwa watu 20 waliotajwa na Amnesty International kwa kuchochea mauaji

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini

Huwezi kujenga mtandao imara wa kitaaluma kama hauko wazi kwa wanataaluma wenzako lakini unatakiwa kufanya hivyo kwa umakini mkubwa. Katika suala la kuwa muwazi inabidi kukumbuka kuwa vitu vingine ukiwa muwazi vinaleta madhara kwenye taaluma yako na kazi yako pia; Unapoongelea maisha yako kwa ujumla inakubidi uwake sanaa ya kimaongezi. Kama kuna kitu ambacho unajua […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Haya Ndio Maelezo ya JB Kuhusu Watu Wanaotaka Kuigiza Naye

Habari,mara nyingi nimekuwa nikipokea maombi ya watu kutaka kuigiza, jamani kuna team ya ma director ndio wanafanya kazi hii sio mimi, na hawawezi kukuchagua kwa kusema tu, mpaka wakuone ukiigiza mahali nawavutiwe.

Please  anza hata kwenye tamthilia.naamini wapo waigizaji wengi wenye vipaji lakini ni lazima uanzie sehemu kabla ya kufika kwetu.asante. JB ameandika haya kwenye ukurasa mtandaoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani