Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya

TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

Regional Police Commander (RPC), Liberatus Sabas


IPPmedia
Regional Police Commander (RPC), Liberatus Sabas
IPPmedia
A man suspected of masterminding terrorist attacks in Arusha, Zanzibar and Dar es Salaam died enroute to the hospital after police shot him as he allegedly tried to escape from custody over the weekend. Regional Police Commander (RPC) Liberatus Sabas ...
Police gun down terror kingpin in Arusha CityDaily News

all 2

 

10 years ago

Mtanzania

Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, zimeendelea baada ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chadema, John Mnyika na kada wa chama hicho, Habib Mchange kuvutana hadharani.

Hiyo ni siku chache baada ya Mchange kutoa tuhuma dhidi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo Dk. Willibrod Slaa, Freeman Mbowe (mwenyekiti wa chama), Tundu Lissu (mwanasheria) na Mnyika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA walijia juu sakata mauaji ya watoto

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,Waziri wa Jinsia Wanawake na Wanawake, Sophia Simba na Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

DCI atuma timu ya wapelelezi sakata la mauaji Kilimanjaro

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Diwani Athuman ametuma wapelelezi mkoani Kilimanjaro, kuchunguza mauaji ya kinyama ya James Massawe aliyeuawa mwaka 2009.

 

10 years ago

GPL

MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI

Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani/Uwazi LILE sakata la mauaji ya mteja wa gari aliyekutwa amefukiwa katika nyumba moja Ilala Sharifu Shamba jijini Dar, Farahan Habusali Maluli (31) limeingia katika sura mpya baada ya mkewe, Tatu Ally (29) kuelezea mambo mapya juu ya tukio hilo la kusikitisha. ...Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi. Akizungumza na Uwazi juzi nyumbani kwake, Maramba Mawili, Kinondoni, Dar, Tatu alisema mumewe...

 

9 years ago

Mwananchi

Mauaji haya ya watu yakomeshwe

Katika gazeti hili leo, kuna habari inayomhusu mwanamke wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala aliyeuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya

Habari za mauaji baina ya wakulima na wafugaji zimeendelea kutawala katika vyombo vya habari nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji haya ya Kiteto, DC Umbula anangoja nini?

RAIS Jakaya Kikwete sina hakika kama unajua kwamba wananchi takribani 30 wameshapoteza maisha wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara. Wafugaji na wakulima wanauana kwa sababu ya chuki za kibaguzi zinazodaiwa kupandikizwa...

 

10 years ago

GPL

USINZIBE MDOMO KUNA USHIRIKA WENYE SHAKA MAUAJI HAYA!

KWA mara nyingine, nchi imejikuta katika aibu nyingine ya mauaji ya kutisha dhidi ya mtoto mdogo mwenye ulemavu wa ngozi, wanaojulikana kama Albino, Yohana Bahati (1) siyo pichani yaliyotokea huko Geita hivi karibuni. Huu ni mwendelezo wa mauaji ya jamii hii ya watu, ambao kwa miaka mingi sasa, wanasadikika kuwa chanzo cha unafuu wa maisha kwa baadhi yetu.Yapo madai kwamba baadhi ya viungo vya Albino, vinawapa utajiri au nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani