BAWACHA walijia juu sakata mauaji ya watoto
BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,Waziri wa Jinsia Wanawake na Wanawake, Sophia Simba na Mkuu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
BAWACHA walaani mauaji ya wanawake Mara
BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limelaani mauaji ya wanawake yanayofanywa na watu wasiofahamika maeneo mbalimbali ya Wilaya za Butiama na Musoma mkoani Mara huku Jeshi la Polisi likishindwa kuyadhibiti. Akiwahutubia...
10 years ago
Mtanzania18 Aug
Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji
![John Mnyika](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/John-Mnyika.jpg)
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, zimeendelea baada ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chadema, John Mnyika na kada wa chama hicho, Habib Mchange kuvutana hadharani.
Hiyo ni siku chache baada ya Mchange kutoa tuhuma dhidi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo Dk. Willibrod Slaa, Freeman Mbowe (mwenyekiti wa chama), Tundu Lissu (mwanasheria) na Mnyika...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DCI atuma timu ya wapelelezi sakata la mauaji Kilimanjaro
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Oo0Oxyvaq9yVMM01ypjzDiA6gKOtHGd13D92qWGt1zQ2Oqmw56cOACeyrxkN-QEsTjH8kSBw5XLXcynYZDcOfK/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya
TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...
10 years ago
Mwananchi21 May
Mbunge amjia juu DC sakata la wanawake wa Rombo
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Simba waijia juu Yanga sakata la Okwi
NA SAADA AKIDA
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameibuka na kudai hana muda wa kuumiza kichwa juu ya madai ya klabu yaYanga, huku Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Zacharia Hanspope akiwapa onyo kuwa endapo watafungua kesi wahakikishe wana vielelezo sahihi.
Yanga ilitangaza kumfungulia kesi ya madai ya fidia Okwi, kwa kumtaka ailipe kiasi cha dola 2,100,000 kwa kuvunja mkataba na ada ya mazoezi, huku ikidai kulipeleka suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s72-c/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Taarifa ya benki ya biashara ya Mkombozi juu ya sakata la Escrow
![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s1600/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Utangulizi
Taarifa hii inatolewa kwa umma kutokana na ripoti mbalimbali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari mitandao ya kijamii na taarifa iliyotolewa kwenye mjadala katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
1. Ufunguzi wa akaunti ya VIP engineering
and Marketing (VIP)
Kampuni ya VIP engineering and Marketing ni kampuni ambayo imesajiliwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Kampuni hii ilifungua akaunti katika benki ya biashara ya Mkombozi na hivyo kuwa moja kati ya wateja wa...
10 years ago
VijimamboLUDENGA AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA SAKATA LA UMRI MISS TANZANIA 2014
Alipotangazwa mshindi, Miss Tanzania 2014, Sitti, ambaye ni binti wa mbunge wa jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam, alivikwa taji na mtangulizi wake Happyness Watimanywa, Miss Tanzania 2013.
Kufikia taji hilo la Miss Tanzania,2014 Bi...