LUDENGA AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA SAKATA LA UMRI MISS TANZANIA 2014
Mkurugenzi wa Mkurugenzi wa Rino International Agency ambao ni Waratibu wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga akiongea na waandishi wa habari muda huu juu ya sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti Mtemvu (kushoto)
Alipotangazwa mshindi, Miss Tanzania 2014, Sitti, ambaye ni binti wa mbunge wa jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam, alivikwa taji na mtangulizi wake Happyness Watimanywa, Miss Tanzania 2013.
Kufikia taji hilo la Miss Tanzania,2014 Bi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziANKO HASHIM LUDENGA AFUNGUKA ZAIDI KUHUSIANA NA SAKATA LA UMRI WA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
VijimamboMSIKILIZE HASHIM LUDENGA AFUNGA ZAIDI KUHUSIANA NA SAKATA LA UMRI WA MISS TANZANIA 2014
Baada ya kutangazwa huko, kukawa na mambo mengi yaliyosemwa kumhusu. Kuanzia tetesi za kuwa kadanganya umri mpaka elimu. Kuwa kuna rushwa ilitumika mpaka kusemwa ana mtoto.
Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga, anazungumza na mitandai ya Vijimambo na Kwanza...
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Msikilize Hashim Ludenga afunguka zaidi kuhusiana na sakata la umri wa Miss Tanzania 2014
Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga hivi karibuni kulifanyika mashindano ya kumsaka mrembo wa Tanzania kwa mwaka 2014 (Miss Tanzania 2014) ambapo Sitti Mtemvu alitangazwa kuwa mshindi.
Baada ya kutangazwa huko, kukawa na mambo mengi yaliyosemwa kumhusu. Kuanzia tetesi za kuwa kadanganya umri mpaka elimu. Kuwa kuna rushwa ilitumika mpaka kusemwa ana mtoto. Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga, anazungumza na mitandai ya Vijimambo na Kwanza...
10 years ago
MichuziLundenga alizungumzia sakata la umri wa Miss Tanzania 2014
Picha zaidi na kilichojili vitawajia muda si mrefu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s640/MMGM0139.jpg)
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari nyanda za juu kusini wanolewa juu ya habari za uchaguzi
Semina hiyo inaendeshwa kwa pamoja na shirika la utangazaji la Uingereza BBC na baraza la habari Tanzania MTC.(Picha na Edwin Moshi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s72-c/IMG-20141016-WA0014.jpg)
UTATA WAZIDI KUTANDA UMRI NA UHALALI WA MISS TANZANIA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s1600/IMG-20141016-WA0014.jpg)
Aidha wadau hao wamezidi kwenda mbali zaidi kwa kuweka picha ya mrembo huyo...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s1600/MMGM0139.jpg)
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b5FhnCFVNu4/VEd8xQ_jgtI/AAAAAAAGsnY/X8NcXdzX10I/s72-c/MMGM0202.jpg)
Tahariri ya Globu ya Jamii: Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Abbasi Mtemvu lipatiwe muarobani
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5FhnCFVNu4/VEd8xQ_jgtI/AAAAAAAGsnY/X8NcXdzX10I/s1600/MMGM0202.jpg)