BAWACHA walaani mauaji ya wanawake Mara
BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limelaani mauaji ya wanawake yanayofanywa na watu wasiofahamika maeneo mbalimbali ya Wilaya za Butiama na Musoma mkoani Mara huku Jeshi la Polisi likishindwa kuyadhibiti. Akiwahutubia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Waganga walaani mauaji ya albino
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
BAWACHA walijia juu sakata mauaji ya watoto
BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,Waziri wa Jinsia Wanawake na Wanawake, Sophia Simba na Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo10 Mar
Tiba Asili walaani mauaji ya albino
SHIRIKISHO la Vyama vya Tiba Asili Tanzania limelaani mauaji wanayofanyiwa walemavu wa ngozi, vikongwe na kunajisi watoto yanayofanyika kwa baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wa dini walaani mauaji ya bomu Z’bar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
Baraza la wanawake chadema(BAWACHA)
The post Baraza la wanawake chadema(BAWACHA) appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi23 Oct
WANAWAKE LINDENI KURA ZENU:BAWACHA
![Mke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadhara](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Z0Rby-Jo-vmQ8nRG4cGz1giFAG6BHMdDSE3K00xHUHUIIvQP61oVdx0AkPOBbH1zs47xRjDkXHszSeLhMPFEemzEjA2l5uwY73UEHUgAmQZm6FGjrdy3lsXN7P4ZMviSh7M34Zsd=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Mama-Lowassa-620x308.jpg)
BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria.Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Bawacha Kunti Yusuph wakati wa mkutano na wanawake, uliofanyika katika ofisi za Chadema kanda ya ziwa Victoria jijini hapa.
Kunti ambaye ni mratibu wa mikutano ya kukutana...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
BAWACHA: UWT acheni kuwapumbaza wanawake
BARAZA la Wanawake wa CHADEMA, (BAWACHA), limejipanga kuhakikishawanawake nchini wanaamka kudai haki zao huku likiuonya Umoja waWanawake wa CCM, (UWT), kuacha kuwapumbaza kwa kuwaimbisha nyimbo zisizo na tija huku ukishindwa...