BAWACHA: UWT acheni kuwapumbaza wanawake
BARAZA la Wanawake wa CHADEMA, (BAWACHA), limejipanga kuhakikishawanawake nchini wanaamka kudai haki zao huku likiuonya Umoja waWanawake wa CCM, (UWT), kuacha kuwapumbaza kwa kuwaimbisha nyimbo zisizo na tija huku ukishindwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Bawacha waapa kula sahani moja na UWT
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
Baraza la wanawake chadema(BAWACHA)
The post Baraza la wanawake chadema(BAWACHA) appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi23 Oct
WANAWAKE LINDENI KURA ZENU:BAWACHA
![Mke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadhara](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Z0Rby-Jo-vmQ8nRG4cGz1giFAG6BHMdDSE3K00xHUHUIIvQP61oVdx0AkPOBbH1zs47xRjDkXHszSeLhMPFEemzEjA2l5uwY73UEHUgAmQZm6FGjrdy3lsXN7P4ZMviSh7M34Zsd=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Mama-Lowassa-620x308.jpg)
BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria.Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Bawacha Kunti Yusuph wakati wa mkutano na wanawake, uliofanyika katika ofisi za Chadema kanda ya ziwa Victoria jijini hapa.
Kunti ambaye ni mratibu wa mikutano ya kukutana...
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Wanawake wa Bawacha wamchukulia fomu Mdee
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
BAWACHA walaani mauaji ya wanawake Mara
BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limelaani mauaji ya wanawake yanayofanywa na watu wasiofahamika maeneo mbalimbali ya Wilaya za Butiama na Musoma mkoani Mara huku Jeshi la Polisi likishindwa kuyadhibiti. Akiwahutubia...
9 years ago
VijimamboBAWACHA KUHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
11 years ago
Habarileo12 Jun
'Wanawake wasilazimishwe kununua kadi za UWT'
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Sophia Simba amewataka Wenyeviti na Makatibu wa UWT wa Mikoa na Wilaya kutowalazimisha wanawake kutoa Sh 1,500 kwa ajili ya kununua kadi za uanachama.
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Katibu UWT aomba wanawake wasimwangushe Samia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0010.jpg)
UWT BAGAMOYO YAWATAKA WANAWAKE KUTHUBUTU KUGOMBEA UDIWANI,UBUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0010.jpg)
Katibu wa UWT Bagamoyo, Hanifa Checheta aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM)wilayani hapo, ambapo alisema wakati mchakato wa uchaguzi ngazi za Udiwani, Ubunge ukiwadi ,wanawake wajitokeze kuwania...