Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wa Bawacha wamchukulia fomu Mdee

Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya jana baadhi ya wanawake kujitokeza kumchukulia fomu Mbunge wa Kawe, Halima Mdee.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ACT—WAZALENDO WAMCHUKULIA FOMU YA URAIS PROF. MKUMBO


 Mwakilishi wa chama cha ACT WAZALENDO na Katibu mkuu  wa chama ACT WAZALENDO, Samsoni Mwigamba akipewa maelekezo na Afisa tawala wandamizi wa Tume ya uchaguzi (NEC),George Baasha kuhusiana na vitu vinavyotakiwa kwenye uchaguzi mkuu pamoja na kampeni zitakazo anza hivi karibuni. Katibu mkuu  wa chama ACT WAZALENDO, Samsoni Mwigamba akimwakilisha Dkt. Kitika Mkumbo  kupokea fomu ya kugombea nafasi ya urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO amechukua fomu hizo...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA NCCR-MAGEUZI WAMCHUKULIA FOMU MGOMBEA URAIS WA CHAMA HICHO,DK.MIHANGO

Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi,Faustine Sungura akizungumza na Wandishi wa habari katika Makao Makuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi,leo jijini Dar es Salaam,(kushoto) ni Katibu wa Vijana wa  Chama cha NCCR-Mageuzi Taifa Mawazo Atanas.

 Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Urais Katibu wa vijana wa  chama cha NCCR-Mageuzi taifa Mawazo Atanas kwa niaba ya  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dk George Mihango,jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Habarileo

Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha

Halima MdeeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mdee aing’arisha BAWACHA

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Halima Mdee aibuka kidedea Bawacha

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Suzan Lyimo.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Mdee, Bawacha Members Released On Bond


Mdee, Bawacha Members Released On Bond
AllAfrica.com
Halima Mdee, leader of the women's wing of Tanzania's Chama Cha Demokrasia na Maedeleo opposition party, known as BAWACHA, and eight other members were released from prison on bond Wednesday (October 8th), Tanzania's Daily News reported.

 

11 years ago

Michuzi

Halima Mdee akamatwa na Polisi walipowatawanya BAWACHA

Jeshi la polisi katika Kanda maalum ya Dar es Salaam limetumia maji ya kuwasha kuwatawanya wafuasi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) waliokuwa wakijiandaa KUANDAMANA hadi Ikulu.
Aidha, jeshi hilo limemkamata Mwenyekiti wa BAWACHA, Mhe. Halima Mdee aliyekuwa akiyaongoza maandamano hayo.
BAWACHA walipanga kuandamana hadi Ikulu ya Dar es Salaam kwa nia ya kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kumsishi asisaini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambayo ilipitishwa na...

 

11 years ago

Michuzi

HALIMA MDEE AWA MWENYEKITI MPYA BAWACHA

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa (Bawacha), wakifungua shampeni kusherehekea ushindi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema Taifa, Halima Mdee (kushoto) baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo. (Picha na Francis Dande) Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bara), Hawa Mwaifunga akilia kwa furaha baada ya kushinda nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika juzi.  Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chadema wakiwa katika...

 

11 years ago

IPPmedia

Police raid BAWACHA office, arrest MP Mdee


IPPmedia
Police raid BAWACHA office, arrest MP Mdee
IPPmedia
Chadema Women Wing (BAWACHA) Chairperson and Kawe MP, Halima Mdee argues with a riot police officer when the legislator and other BAWACHA members started their planned march to State House. Leading opposition party, Chama cha Demokrasia ...
Halima Mdee in police custodyDaily News

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani