HALIMA MDEE AWA MWENYEKITI MPYA BAWACHA
Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa (Bawacha), wakifungua shampeni kusherehekea ushindi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema Taifa, Halima Mdee (kushoto) baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo. (Picha na Francis Dande)
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bara), Hawa Mwaifunga akilia kwa furaha baada ya kushinda nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika juzi.
Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chadema wakiwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Sep
Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Halima Mdee aibuka kidedea Bawacha
10 years ago
Michuzi04 Oct
Halima Mdee akamatwa na Polisi walipowatawanya BAWACHA
Aidha, jeshi hilo limemkamata Mwenyekiti wa BAWACHA, Mhe. Halima Mdee aliyekuwa akiyaongoza maandamano hayo.
BAWACHA walipanga kuandamana hadi Ikulu ya Dar es Salaam kwa nia ya kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kumsishi asisaini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambayo ilipitishwa na...
10 years ago
VijimamboANGALIA PICHA: BAWACHA WALIPOANDAMANA KUELEKEA IKULU, HALIMA MDEE AKAMATWA NA POLISI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Ndassa awa Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini
![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONvNR1EsGTM/VMY6jYdG0_I/AAAAAAAG_ks/uEXX0GM61Sk/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FBWEqR2BrWo/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mdee aing’arisha BAWACHA
MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...