Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee aing’arisha BAWACHA

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kikwete aing’arisha Tanzania

TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kibadeni aing’arisha Mahakama Shimiwi

Scan10178

Wachezaji wanawake wa mchezo wa kamba wa timu ya Mahakama walishindana na wapinzani wao wa Mipango kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro katika mashindano ya Shimiwi inayoendelea mpaka sasa. Mahakama ilishinda kwa 2-0. (Picha/Mpigapicha wetu).

Na Mwandishi wetu, Morogoro

Timu ya  Mahakama ya Tanzania imeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Shirikisho ya  Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) inayoendelea mkoani Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.

Timu ya Mahakama ambayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Martial aing’arisha Man United

Mabao mawili ya kinda Anthony Martial na jingine la Juan Mata jana yaliiwezesha Manchester United kushinda mabao 3-2 dhidi ya Southampton kwenye mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri aing’arisha Simba Zanzibar

Simba inarudi leo jijini Dar es Salaam ikiwa imevuna mabao tisa katika mechi tatu za kirafiki walizocheza visiwani hapa, huku ikiruhusu bao moja langoni mwao, jambo lililofanya ionekane katika ubora wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Raphael Kiongera aliifungia timu yake mabao mawili muhimu akitokea benchi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Gor Mahia na kuiwezesha kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha

Halima MdeeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Halima Mdee aibuka kidedea Bawacha

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Suzan Lyimo.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Mdee, Bawacha Members Released On Bond


Mdee, Bawacha Members Released On Bond
AllAfrica.com
Halima Mdee, leader of the women's wing of Tanzania's Chama Cha Demokrasia na Maedeleo opposition party, known as BAWACHA, and eight other members were released from prison on bond Wednesday (October 8th), Tanzania's Daily News reported.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake wa Bawacha wamchukulia fomu Mdee

Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya jana baadhi ya wanawake kujitokeza kumchukulia fomu Mbunge wa Kawe, Halima Mdee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani