Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aing’arisha Tanzania

TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee aing’arisha BAWACHA

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kibadeni aing’arisha Mahakama Shimiwi

Scan10178

Wachezaji wanawake wa mchezo wa kamba wa timu ya Mahakama walishindana na wapinzani wao wa Mipango kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro katika mashindano ya Shimiwi inayoendelea mpaka sasa. Mahakama ilishinda kwa 2-0. (Picha/Mpigapicha wetu).

Na Mwandishi wetu, Morogoro

Timu ya  Mahakama ya Tanzania imeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Shirikisho ya  Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) inayoendelea mkoani Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.

Timu ya Mahakama ambayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Martial aing’arisha Man United

Mabao mawili ya kinda Anthony Martial na jingine la Juan Mata jana yaliiwezesha Manchester United kushinda mabao 3-2 dhidi ya Southampton kwenye mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri aing’arisha Simba Zanzibar

Simba inarudi leo jijini Dar es Salaam ikiwa imevuna mabao tisa katika mechi tatu za kirafiki walizocheza visiwani hapa, huku ikiruhusu bao moja langoni mwao, jambo lililofanya ionekane katika ubora wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Raphael Kiongera aliifungia timu yake mabao mawili muhimu akitokea benchi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Gor Mahia na kuiwezesha kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa

Wadau mbalimbali wa madini ya vito waliopata bahati kutembelea Banda la Tanzania katika siku ya kwanza ya Maonesho ya 54 ya Kimataifa ya Vito na Usonara ya Bangkok, wakishangazwa na mng’ao wa Kito cha Tanzanite katika Pete iliyovalishwa kidoleni mwa Mwanafunzi, Raia wa Thailand aliyeomba kujaribisha Pete hiyo. Anayetoa maelezo ni Mfanyabiashara wa Madini ya Vito kutoka Tanzania, Bw. Gregory Kibusi (Mwenye mavazi ya Bhatiki).Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tatu za juu ulimwenguni katika harakati za kuzuia na kupambana na rushwa pamoja na masuala ya utawala bora.

 

10 years ago

GPL

TANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA

Wadau mbalimbali wa madini ya vito waliopata bahati kutembelea Banda la Tanzania katika siku ya kwanza ya Maonesho ya 54 ya Kimataifa ya Vito na Usonara ya Bangkok, wakishangazwa na mng’ao wa Kito cha Tanzanite katika Pete iliyovalishwa kidoleni mwa Mwanafunzi, Raia wa Thailand aliyeomba kujaribisha Pete hiyo. Anayetoa maelezo ni Mfanyabiashara wa Madini ya Vito kutoka Tanzania, Bw. Gregory Kibusi (Mwenye mavazi ya...

 

10 years ago

Habarileo

CAG aahidi kuing’arisha Tanzania kimataifa

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa AssadMDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) amesema Tanzania itaendelea kuwa kinara katika shughuli za ukaguzi wa Umoja wa Mataifa ili kuweza kuiletea nchi sifa katika eneo la ukaguzi wa hesabu za umoja huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani