Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tatu za juu ulimwenguni katika harakati za kuzuia na kupambana na rushwa pamoja na masuala ya utawala bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa
10 years ago
GPLTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA
9 years ago
MichuziTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KATIKA MAONESHO YA VITO BANKOK
10 years ago
Habarileo20 Jun
JK atamba mafanikio mapambano ya rushwa
RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga wadau wa maendeleo, ameendelea kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne, aliyoiongoza kwa miaka kumi sasa katika sekta mbali mbali, ambapo mara hii amezungumzia mapambano dhidi ya rushwa.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Dk Hoseah achaguliwa kuongoza mapambano ya rushwa A.Mashariki
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mapambano dhidi ya rushwa : Tujifunze toka Rwanda
9 years ago
StarTV05 Jan
Mapambano Dhidi Ya Rushwa Takukuru yakabiliwa na changamoto ya mashahidi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara imesema bado changamoto ya upatikanaji wa mashahidi katika kesi mbalimbali imeendelea kuwepo kutokana na mashahidi wengi kushindwa kujitokeza na wengine kubadilika kutokana na kuogopa vitisho kutoka kwa watuhumiwa.
Kutokana na changamoto hiyo kesi nyingi zinalazimika kufutwa na nyingine kubadilika.
Mkuu wa Taasisi kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru wa Mkoa wa Mtwara Edson Makala anasema Baadhi ya kesi zilalazimika...
10 years ago
StarTV03 Mar
Mapambano ya rushwa, Serikali kupeleka bungeni mpango wa tatu.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Serikali imesema ipo mbioni kupeleka bungeni mpango wa tatu wa Taifa wa kupambana na rushwa ambao utajumuisha taasisi mbalimbali za Umma ikiwepo Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.
Huu ni mkakati madhubuti utakaosaidia kuondoa vitendo vya utoaji na upokeaji wa Rushwa nchini.
use of cialis pills
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais utawala bora Kapten Mtaafu Geogre Nkuchika alibainisha hayo Jijini Arusha katika Mkutano wa kuandaa mpango wa kupambana na Rushwa ndani...
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).