Mapambano ya rushwa, Serikali kupeleka bungeni mpango wa tatu.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Serikali imesema ipo mbioni kupeleka bungeni mpango wa tatu wa Taifa wa kupambana na rushwa ambao utajumuisha taasisi mbalimbali za Umma ikiwepo Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.
Huu ni mkakati madhubuti utakaosaidia kuondoa vitendo vya utoaji na upokeaji wa Rushwa nchini.
use of cialis pills
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais utawala bora Kapten Mtaafu Geogre Nkuchika alibainisha hayo Jijini Arusha katika Mkutano wa kuandaa mpango wa kupambana na Rushwa ndani...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...
10 years ago
Habarileo21 Jan
Maliasili waagizwa kupeleka ripoti bungeni
KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa amri ya Mahakama ya kutaka hoteli zote katika mbuga za wanyama za taifa kulipa ushuru wa kitanda.
10 years ago
Habarileo20 Jun
JK atamba mafanikio mapambano ya rushwa
RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga wadau wa maendeleo, ameendelea kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne, aliyoiongoza kwa miaka kumi sasa katika sekta mbali mbali, ambapo mara hii amezungumzia mapambano dhidi ya rushwa.
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Wizara ya Viwanda kupeleka muswada wa vipimo bungeni
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kafulila kupeleka hoja binafsi ya IPTL bungeni
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Dk Hoseah achaguliwa kuongoza mapambano ya rushwa A.Mashariki
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mapambano dhidi ya rushwa : Tujifunze toka Rwanda
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Mapambano ya VVU na sifuri tatu
KWA sasa Tanzania imepanga kufikia sifuri tatu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa kutoa elimu itakayomfikia kila mwananchi kuhusiana na athari za ugonjwa huo. Maana...