Maliasili waagizwa kupeleka ripoti bungeni
KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa amri ya Mahakama ya kutaka hoteli zote katika mbuga za wanyama za taifa kulipa ushuru wa kitanda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Aug
Tanesco waagizwa kupeleka madaraka chini
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, ametaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuanzisha mfumo wa kupeleka madaraka ngazi ya chini.
9 years ago
StarTV28 Dec
Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule
Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.
Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Madiwani waagizwa kusimamia maliasili
BARAZA jipya la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, limetakiwa kushiriki kikamilifu kuzuia uvamizi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Wami Mbiki na Msitu wa Kuni kwa kuwahimiza wananchi kufuga kisasa zaidi.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPBsXrc94hQ/VQHsAXht77I/AAAAAAAHJ70/QmwSTOq1uQo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Wizara ya Viwanda kupeleka muswada wa vipimo bungeni
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kafulila kupeleka hoja binafsi ya IPTL bungeni
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Sinema ya Maliasili yatua bungeni
SERIKALI imebanwa itoe ufafanuzi wa utata uliojitokeza katika Wizara ya Maliasili na Utalii, baada ya Katibu Mkuu, Maimuna Tarishi kutengua uamuzi wa waziri wake, Lazaro Nyalandu na kuwarejesha kazini vigogo...
10 years ago
StarTV03 Mar
Mapambano ya rushwa, Serikali kupeleka bungeni mpango wa tatu.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Serikali imesema ipo mbioni kupeleka bungeni mpango wa tatu wa Taifa wa kupambana na rushwa ambao utajumuisha taasisi mbalimbali za Umma ikiwepo Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.
Huu ni mkakati madhubuti utakaosaidia kuondoa vitendo vya utoaji na upokeaji wa Rushwa nchini.
use of cialis pills
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais utawala bora Kapten Mtaafu Geogre Nkuchika alibainisha hayo Jijini Arusha katika Mkutano wa kuandaa mpango wa kupambana na Rushwa ndani...