Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco waagizwa kupeleka madaraka chini

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, ametaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuanzisha mfumo wa kupeleka madaraka ngazi ya chini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maliasili waagizwa kupeleka ripoti bungeni

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa amri ya Mahakama ya kutaka hoteli zote katika mbuga za wanyama za taifa kulipa ushuru wa kitanda.

 

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule

 

Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.

Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...

 

10 years ago

Mwananchi

Historia ya Serikali za Mitaa na mkakati wa kupeleka madaraka kwa wananchi

Majuma kadhaa sasa tumekuwa tukielezea historia ya Serikali za Mitaa nchini. Leo tunaendelea na mfululizo wa makala yale tukiangalia utekelezaji wa uamuzi ulioidhinishwa na Serikali kuhusu mpango wa uboreshaji wa mfumo wa Serikali za Mitaa na mkakati wa kupeleka madaraka kwa wananchi.

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco waagizwa kutunza maji Mtera

KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo amewataka wataalamu wa Shirika la Umeme (Tanesco) kuhakikisha maji yanayoingia katika bwawa la uzalishaji umeme la Mtera yanatunzwa katika kipindi chote cha mwaka ili kuzalisha umeme kwa mwaka mzima.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco waagizwa kuunganisha umeme siku moja

SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi. Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco waagizwa kuunganisha umeme ndani ya siku 7

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameitaka Bodi mpya ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na kuhakikisha kuwa mteja mpya anapoomba umeme anafungiwa ndani ya wiki moja.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini

DSC09653

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu  kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.

Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’

Hit maker wa Muziki Gani, Nay wa Mitego amefunguka kwa kudai kuwa amepandisha gharama za show zake mpaka milioni 5 kwa show za nje ya Dar Es Salaam. Nay wa Mitego akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima Akizungumza na bongo5 leo, Nay , amesema imembidi apandishe gharama za show zake kutokana […]

 

9 years ago

Michuzi

NCCR-MAGEUZI KWAFUKUTA CHINI KWA CHINI

 NaChalila Kibuda,Globu ya Jamii CHAMA cha NCCR-MAGEUZI kimesema mkutano uliofanyika jana katika hoteli ya Land Mark  jijini Dar es Salaam na Makamu Mwenyekiti pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho hawajajua lengo lake kutokana na kutokwepo kwa baraka ya vikao kwa mujibu wa chama hicho.
Akizungumza leo  na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani