Historia ya Serikali za Mitaa na mkakati wa kupeleka madaraka kwa wananchi
Majuma kadhaa sasa tumekuwa tukielezea historia ya Serikali za Mitaa nchini. Leo tunaendelea na mfululizo wa makala yale tukiangalia utekelezaji wa uamuzi ulioidhinishwa na Serikali kuhusu mpango wa uboreshaji wa mfumo wa Serikali za Mitaa na mkakati wa kupeleka madaraka kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Serikali za mitaa na ugatuzi wa madaraka ya Wananchi
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Historia ya Serikali za Mitaa- 3
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Historia ya Serikali za Mitaa Tanzania — hitimisho
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Ijue historia ya Serikali za mitaa Tanzania-2
10 years ago
Habarileo25 Aug
Tanesco waagizwa kupeleka madaraka chini
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, ametaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuanzisha mfumo wa kupeleka madaraka ngazi ya chini.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wananchi wamelala Uchaguzi Serikali za Mitaa
11 years ago
Habarileo26 Feb
'Katiba isipotambua Serikali za Mitaa tutawaeleza wananchi'
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) imetaka Serikali za Mitaa zitambulike ndani ya Katiba Mpya, vinginevyo watawaeleza wananchi jinsi haki zao zinavyoporwa ndani ya Katiba hiyo.
5 years ago
MichuziKALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
11 years ago
MichuziTAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014