Tanesco waagizwa kutunza maji Mtera
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo amewataka wataalamu wa Shirika la Umeme (Tanesco) kuhakikisha maji yanayoingia katika bwawa la uzalishaji umeme la Mtera yanatunzwa katika kipindi chote cha mwaka ili kuzalisha umeme kwa mwaka mzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Oct
Magu, Kwimba waagizwa kutunza daraja lidumu miaka 100
KERO ya muda mrefu iliyokuwa inawakabili wananchi wa wilaya za Magu na Kwimba ya ukosefu wa daraja linalotenganisha wilaya hizo katika eneo la Maligisu limepatiwa ufumbuzi baada ya Serikali kujenga daraja lenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 2.6.
10 years ago
Habarileo25 Aug
Tanesco waagizwa kupeleka madaraka chini
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, ametaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuanzisha mfumo wa kupeleka madaraka ngazi ya chini.
10 years ago
Habarileo19 Jan
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme ndani ya siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameitaka Bodi mpya ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na kuhakikisha kuwa mteja mpya anapoomba umeme anafungiwa ndani ya wiki moja.
10 years ago
Habarileo06 Oct
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme siku moja
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi. Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.
10 years ago
Habarileo30 Aug
Ada ya maji ‘yatotesha’ uwezo bwawa la Mtera
UONGOZI wa mtambo wa kuzalisha umeme wa maji wa Mtera, umeiomba Serikali iangalie upya suala la ada ya maji inayotozwa na Wizara ya Maji, bila kuzingatia kiwango halisi cha uzalishaji wa mtambo huo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s72-c/moja.jpg)
MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima
![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s640/moja.jpg)
9 years ago
MichuziWananchi watakiwa kuwa nje ya mita 60 kutoka vyanzo vya maji vinavyopeleka Mtera
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Watendaji watakiwa kutunza vyanzo vya maji
MKUU wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego, amewaagiza watendaji wa vijiji, mitaa na kata kuhakikisha wanatunza na kulinda vyanzo vya maji ikiwemo miundombinu yake ili kuwepo na uhakika wa maji....