Ada ya maji ‘yatotesha’ uwezo bwawa la Mtera
UONGOZI wa mtambo wa kuzalisha umeme wa maji wa Mtera, umeiomba Serikali iangalie upya suala la ada ya maji inayotozwa na Wizara ya Maji, bila kuzingatia kiwango halisi cha uzalishaji wa mtambo huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM19 Nov
BWAWA LA MTERA HATARINI KUTOWEKA
KINA cha maji katika Bwana ambalo ni moja kati ya vyanzo vya uzalishaji wa umeme nchini lina hali mbaya baada ya maji kukauka na sasa kilomita 10 zaidi zageuka ukame.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu wa umebaini kuwepo kwa kasi kubwa ya bwawa hilo kuendelea kupoteza sifa ya kuendelea kuitwa bwawa baada ya maji kuendelea kukauka na kulifanya sasa bwawa hilo kuwa na hadhi ya mto .
Mmoja kati ya wavuvi katika bwawa hilo Frank Mvili alisema kuwa kupungua kwa kina cha maji katika bwawa hilo...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA BWAWA LA MTERA
Naibu Waziri Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati Mhe. Charles Kitwanga amefanya ziara ya kutembelea Bwawa la kuzalisha Umeme la Mtera mwishoni mwa wiki kwa lengo la kuangalia mwenendo wa maji katika bwawa hilo.
Wakati akizungumza na watendaji wa Bwawa hilo, Kitwanga amewataka watendaji hao kuhakikisha kuwa Bwawa la Mtera linaendelea kuwa na kiasi cha maji ya kutosha wakati wote ili kuweza kuzalisha umeme wa kutosha.
“Lazima muhakikishe...
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wanafunzi wasio na uwezo kulipiwa ada
SERIKALI kupitia halmashauri zote nchini ina mpango wa kuwasaidia na kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo. Kauli hiyoilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na...
9 years ago
Habarileo30 Nov
Tanesco waagizwa kutunza maji Mtera
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo amewataka wataalamu wa Shirika la Umeme (Tanesco) kuhakikisha maji yanayoingia katika bwawa la uzalishaji umeme la Mtera yanatunzwa katika kipindi chote cha mwaka ili kuzalisha umeme kwa mwaka mzima.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s72-c/moja.jpg)
MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima
![](http://3.bp.blogspot.com/-LS1s1nkaAMo/Vltma5Y75FI/AAAAAAAIJD4/JRaiaHa3DOI/s640/moja.jpg)
9 years ago
MichuziWananchi watakiwa kuwa nje ya mita 60 kutoka vyanzo vya maji vinavyopeleka Mtera