NAIBU WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA BWAWA LA MTERA
Na Asteria Muhozya, Mtera.
Naibu Waziri Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati Mhe. Charles Kitwanga amefanya ziara ya kutembelea Bwawa la kuzalisha Umeme la Mtera mwishoni mwa wiki kwa lengo la kuangalia mwenendo wa maji katika bwawa hilo.
Wakati akizungumza na watendaji wa Bwawa hilo, Kitwanga amewataka watendaji hao kuhakikisha kuwa Bwawa la Mtera linaendelea kuwa na kiasi cha maji ya kutosha wakati wote ili kuweza kuzalisha umeme wa kutosha.
“Lazima muhakikishe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
![mbo1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oIYd53vrEUKzCFVKvOWMbSeABlcmK-t_HCA8Rfpk0eKzRmyvfpbfO8F2Fh_2afeu6hJW2ANHUB-Jl-DEHeVVvXbufypP6O6rnEylkVTJT6xkPJuWIwws6g=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo1.jpg)
![mbo2](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Y9smUucEQZlElgdUsSNTDVmcQgAtrEpQ6V2Dl2ahDjGZXljJVPQI8U-bDwAPlWiyKghyemou5I4yuevSaS8P8yAurno2jEPXQJu9N6XkodxA_5zWbXieJw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo2.jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D_4GbiYCLf0/UvlOI7fALmI/AAAAAAAFMSQ/snzzvDWZRZg/s72-c/unnamed+(77).jpg)
SERIKALI INA NIA NA BWAWA LA KIDUNDA - NAIBU WAZIRI WA MAJI
Mhe. Makalla amezungumza hayo jana wakati alipotembelea kijiji cha Bwira Chini ambacho pamoja na Bwira Juu ni moja ya vijiji vitakavyopisha ujenzi wa bwawa hilo kubwa, kuongea na wananchi ambao wamekua katika hali ya sintofahamu kuhusu utaratibu wa kuhama katika makazi yao kwa ajili ya kupisha ujenzi huo.
“Serikali ina nia na bwawa la Kidunda, ila...
10 years ago
CloudsFM19 Nov
BWAWA LA MTERA HATARINI KUTOWEKA
KINA cha maji katika Bwana ambalo ni moja kati ya vyanzo vya uzalishaji wa umeme nchini lina hali mbaya baada ya maji kukauka na sasa kilomita 10 zaidi zageuka ukame.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu wa umebaini kuwepo kwa kasi kubwa ya bwawa hilo kuendelea kupoteza sifa ya kuendelea kuitwa bwawa baada ya maji kuendelea kukauka na kulifanya sasa bwawa hilo kuwa na hadhi ya mto .
Mmoja kati ya wavuvi katika bwawa hilo Frank Mvili alisema kuwa kupungua kwa kina cha maji katika bwawa hilo...
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x2RHKNq1GZQ/VnobSYqFSsI/AAAAAAAIOBg/4bD-dj4AxDw/s72-c/fb5704e3-0532-400d-9b03-6f3e253a790f.jpg)
WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-x2RHKNq1GZQ/VnobSYqFSsI/AAAAAAAIOBg/4bD-dj4AxDw/s640/fb5704e3-0532-400d-9b03-6f3e253a790f.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uG5_9-a0soQ/VnobRfYmsJI/AAAAAAAIOBU/2Vtw8uFR9Dc/s640/eefc4c7c-40f1-42a5-a153-cb981ef7f432.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI
10 years ago
Habarileo30 Aug
Ada ya maji ‘yatotesha’ uwezo bwawa la Mtera
UONGOZI wa mtambo wa kuzalisha umeme wa maji wa Mtera, umeiomba Serikali iangalie upya suala la ada ya maji inayotozwa na Wizara ya Maji, bila kuzingatia kiwango halisi cha uzalishaji wa mtambo huo.