Magu, Kwimba waagizwa kutunza daraja lidumu miaka 100
KERO ya muda mrefu iliyokuwa inawakabili wananchi wa wilaya za Magu na Kwimba ya ukosefu wa daraja linalotenganisha wilaya hizo katika eneo la Maligisu limepatiwa ufumbuzi baada ya Serikali kujenga daraja lenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 2.6.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Nov
Tanesco waagizwa kutunza maji Mtera
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo amewataka wataalamu wa Shirika la Umeme (Tanesco) kuhakikisha maji yanayoingia katika bwawa la uzalishaji umeme la Mtera yanatunzwa katika kipindi chote cha mwaka ili kuzalisha umeme kwa mwaka mzima.
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s72-c/IMAG0023.jpg)
HOSPTIALI ZA WILAYA ZA MISUNGWI, SENGEREMA, MAGU NA KWIMBA ZAPEWA VIFAA VYA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 68
![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s1600/IMAG0023.jpg)
TAASISI ya Afrika ya Brien Holden Vision Institute (BHVI) imezipiga jeki ya vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 68 ili kukabiliana na tatizo la wagonjwa wa macho katika Hosptali za Wilaya ya Misungwi na Sengerema, Magu na Kwimba mkoani Mwanza.
Msaada huo ulikabidhiwa mwishoni mwa juma lililopita na Meneja Mipango wa BHVI Afrika, Mary Wepo kwenye hafla fupi iliyofanyika ofisi za Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza chini ya ufadhili wa Stanard Chartered Bank Tanzania Ltd kupitia mpango wa miaka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZEeoOeovy8/ViPYuEGwsTI/AAAAAAADBEo/NZn9AJRUdzQ/s72-c/_MG_7233.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUIVURUGA KANDA YA ZIWA,AFANYA KAMPENI MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZEeoOeovy8/ViPYuEGwsTI/AAAAAAADBEo/NZn9AJRUdzQ/s640/_MG_7233.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UA-eb2S2oy8/ViPYwH1Tp1I/AAAAAAADBEw/hitqmDUXECM/s640/_MG_7284.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6WTQVWQF-2I/ViPY0Br-Q-I/AAAAAAADBE4/8IDmVg4WkPU/s640/_MG_7300.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
9 years ago
GPLKIKONGWE MIAKA 100 AMTABIRIA MAGUFULI
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Mama wa miaka 100 ahukumiwa jela Kenya