KIKONGWE MIAKA 100 AMTABIRIA MAGUFULI
Kikongwe Kete Abdallah aliyemtabilia Magufuli. Dustan Shekidele, Morogoro. UTABIRI! Wakati taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali zikitoa matokeo ya utafiti katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu mwezi ujao, kikongwe mmoja, Kete Abdallah mwenye umri wa miaka 100, amemtabiria ushindi mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli. Bibi huyo alitoa utabiri huo wiki iliyopita wakati wa sherehe yake ya kumbukumbu ya kuzaliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qcv1T9pJOGlaIMmdRMXaKnywYeNhw4D5sz5qoYK-LSEiVMBtYdMxnI6vcoG0UUGdlYJPqr9Sn6yHRTGBvLIRCjS/uonevu.jpg?width=650)
...KIKONGWE MIAKA 100 ADAI KUPOKONYWA SHAMBA!
9 years ago
GPL09 Sep
10 years ago
Michuzi22 Aug
KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s72-c/BIBI.png)
RAIS MAGUFULI AJIBU BARUA YA KIKONGWE, AAMURU APEWE EKARI, BIBI AMSHUKURU (+VIDE)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s400/BIBI.png)
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Nyambui: Niliomba nifungwe miaka 100 jela
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Mama wa miaka 100 ahukumiwa jela Kenya
11 years ago
Bongo507 Jul
New Music: Wababa ft. Nay wa Mitego — Miaka 100
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Umeshafikiria kufundishwa na mwalimu mwenye umri wa miaka 100?
KUNA usemi kuwa kujifunza hakuna mwisho, lakini mama huyu Agnes Zhelesnik (101) amebadili maana imekuwa kinyume chake kufundisha hakuna mwisho.
Kwa sasa anatajwa ni mwalimu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani baada ya Januari mwaka huu kutimiza miaka 101 tangu kuzaliwa lakini bado hajaacha kufundisha uchumi wa nyumbani.
Mwalimu huyo mkongwe anayefundisha watoto wenye umri chini ya miaka 10 katika Shule ya Sundance North Plaintfield, New Jersey Marekani alizaliwa Januari 12, 1914...