MAGUFULI AZIDI KUIVURUGA KANDA YA ZIWA,AFANYA KAMPENI MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZEeoOeovy8/ViPYuEGwsTI/AAAAAAADBEo/NZn9AJRUdzQ/s72-c/_MG_7233.jpg)
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni mjini Ngudu , wilayani Kwimba, jijini Mwanza, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
Wananchi wakishangilia kukubali kumpigia kura Dk Magufuli katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi leo
Sehemu ya umati wakazi wa Misungwi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli,alipokuwa akimwaga sera zake na kuwaomba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s72-c/_MG_7954.jpg)
MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s640/_MG_7954.jpg)
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s72-c/_MG_7954.jpg)
ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU TANO,MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s640/_MG_7954.jpg)
Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambao serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii.
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s72-c/IMAG0023.jpg)
HOSPTIALI ZA WILAYA ZA MISUNGWI, SENGEREMA, MAGU NA KWIMBA ZAPEWA VIFAA VYA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 68
![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s1600/IMAG0023.jpg)
TAASISI ya Afrika ya Brien Holden Vision Institute (BHVI) imezipiga jeki ya vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 68 ili kukabiliana na tatizo la wagonjwa wa macho katika Hosptali za Wilaya ya Misungwi na Sengerema, Magu na Kwimba mkoani Mwanza.
Msaada huo ulikabidhiwa mwishoni mwa juma lililopita na Meneja Mipango wa BHVI Afrika, Mary Wepo kwenye hafla fupi iliyofanyika ofisi za Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza chini ya ufadhili wa Stanard Chartered Bank Tanzania Ltd kupitia mpango wa miaka...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
KAMPENI: Chadema wasafiri kwa chopa kusaka majimbo Kanda ya Ziwa
9 years ago
Vijimambo13 Oct
SPEED YA MWIGULU NCHEMBA KUSAKA KURA ZA URAIS ZA MAGAFULI YAONGEZEKA,APIGA MAJIMBO 6 HII LEO KANDA YA ZIWA
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12072709_894663070587518_8750083471299984698_n.jpg?oh=4ef124646e2d1db76dd17d34250b348e&oe=56984F67)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11232275_894605253926633_4733994514331967860_n.jpg?oh=16f0a05c14db5089ddafe89a74abeb9b&oe=569264A0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12112304_894605153926643_6119693683441098416_n.jpg?oh=ed8c47650920041b3e7babe6ba88e4c9&oe=56889555)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12088543_894605330593292_805072813188566134_n.jpg?oh=0837df7a6481fb598a1e78537461deac&oe=568525A1)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12088543_894605330593292_805072813188566134_n.jpg?oh=0837df7a6481fb598a1e78537461deac&oe=568525A1)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Sumve wilayani Kwimba
![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s640/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo juu ya usindikaji wa alizeti kwenye kikundi cha ujasiriamali cha KIBUKU kilichopo kata ya Lyoma ,jimbo la Sumve wilaya ya Kwimba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kata ya Lyoma mara baada ya kujionea maendeleo ya kikundi cha Ujasiriamali kinachojishughulisha na usindikaji wa Alizeti.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
Wananchi wa Kata ya malya wakionyesha Bango kubwa lenye ujumbe kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
MichuziKAMPENI YA USALAMA BARABARANI YA" WAIT TO SEND"YAENDELEA KANDA YA ZIWA