Ziara ya Kinana katika jimbo la Sumve wilayani Kwimba
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo juu ya usindikaji wa alizeti kwenye kikundi cha ujasiriamali cha KIBUKU kilichopo kata ya Lyoma ,jimbo la Sumve wilaya ya Kwimba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kata ya Lyoma mara baada ya kujionea maendeleo ya kikundi cha Ujasiriamali kinachojishughulisha na usindikaji wa Alizeti.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
Wananchi wa Kata ya malya wakionyesha Bango kubwa lenye ujumbe kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA JIMBO LA SUMVE
![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MISUNGWI,KESHO KUVAMIA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jXbbjf7xD3A/VYwtWjegBNI/AAAAAAAAfq4/BZSFEHF07u4/s72-c/39.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA SUMVE MKOANI MWANZA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-jXbbjf7xD3A/VYwtWjegBNI/AAAAAAAAfq4/BZSFEHF07u4/s640/39.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JEvGpc3wI5M/VYxENjYfeTI/AAAAAAAC7fs/lh2Zj1C2zIw/s640/14.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WMpXyf4kvZg/VYrcFjwTRLI/AAAAAAAC7Zo/qZf441uB8YU/s72-c/7.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMpXyf4kvZg/VYrcFjwTRLI/AAAAAAAC7Zo/qZf441uB8YU/s640/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmbaugUYgZQ/VYrcFNl0ZjI/AAAAAAAC7Zc/cJ-kKe-27Ug/s640/6.jpg)
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yIEdXuovpMc/VPiQKvfMsMI/AAAAAAAHH48/5VhObiGn4Ns/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Nyamagana
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6IqNdZiSKI/VY9y_KDPeJI/AAAAAAAAf7Y/-lmq5eswCX0/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Nyamagana wanaounda makundi ya Machinga,Bodaboda, na Mama Lishe kwenye uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fww6ubGfakc/VY9zAW49xmI/AAAAAAAAf7k/UORgLf2EWUY/s640/22.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na makundi ya Mama Lishe ,Machinga na Boda boda katika kikao kilichofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GE_xqb02TSI/VY9zA0KEh_I/AAAAAAAAf7w/bS0tV9YBfI8/s640/17.jpg)
Baadhi ya Mama lishe waliohudhulia kikao na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ur-8Pgzj8f0/VY9zhKkG_II/AAAAAAAAf8E/H-pLQ0FEsyw/s640/18.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...