Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPENI: Chadema wasafiri kwa chopa kusaka majimbo Kanda ya Ziwa

>Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Ziwa Magharibi, kimeanzisha operesheni maalumu kwa ajili ya kusaka ubunge katika majimbo yote yaliyoko kwenye kanda hiyo ambayo yanashikiliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SPEED YA MWIGULU NCHEMBA KUSAKA KURA ZA URAIS ZA MAGAFULI YAONGEZEKA,APIGA MAJIMBO 6 HII LEO KANDA YA ZIWA

Mwigulu Nchemba Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Busega Dr.Chegeni mapema hii leo.Mwigulu Nchemba Jimbo la Busega kwa Dr.Chegeni akisisitiza Wananchi kwenda kupiga kura kwa wingi,Hakuna namna CCM itashinda kwa kishindo kama wananchi hawajitokezi kupiga kura,Kura ni kwaajili ya maamuzi makubwa ya Taifa lako.Wananchi wa Sumve wakionesha Umoja wao kwenye zoezi la kwenda Kuichagua CCM kwa nafasi zote.Mwigulu Nchemba akimnadi Mbunge...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZIDI KUIVURUGA KANDA YA ZIWA,AFANYA KAMPENI MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni mjini Ngudu , wilayani Kwimba, jijini Mwanza, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.  Wananchi wakishangilia kukubali kumpigia kura Dk Magufuli katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi leoSehemu ya umati wakazi wa Misungwi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli,alipokuwa akimwaga sera zake na kuwaomba...

 

11 years ago

Dewji Blog

Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo

Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...

 

11 years ago

Michuzi

HATIMAYE WASHINDI WATATU WA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI (TANZANIA MOVIE TALENTS) KWA KANDA YA ZIWA WAPATIKANA LEO JIJINI MWANZA

Janneth Emmanuel (kushoto),  Cresenciah Herman (katikati) na Joshua Wambura Stanslaus ambao ndio washindi wa Shindano la kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa wanaonyesha zawadi zao za pesa taslimu shilingi laki 5 kila mmoja mara baada ya kutangazwa washindi wa Kanda ya Ziwa.

Shindano la Kusaka VIpaji vya Kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents limemalizika leo kanda ya ziwa, Mkoani Mwanza kwa washindi watatu kupatikana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema kutumia chopa tano kutetea majimbo ya Kaskazini

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza mkakati wake katika Uchaguzi Mkuu kwa Mkoa wa Arusha, lengo likiwa ni kuzoa majimbo na kata zote.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM, Chadema hapatoshi Kanda ya Ziwa

HEKAHEKA za kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi katika Kanda ya Ziwa ambapo mchuano

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA USALAMA BARABARANI YA" WAIT TO SEND"YAENDELEA KANDA YA ZIWA

Ofisa wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza 7171 Josephine (kushoto), akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva Alex John wakati wa operesheni ya usalama barabarani iliyofanyika Mkoani humo ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya Usalama Barabarani ya “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya moto kutokutumia simu za mkononi wakati wakiwa wanaendesha kampeni hiyo inadhamiwa na Vodacom Tanzania.Dereva wa kampuni ya mabasi ya Mohamed Trans, Soud Nassoro...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilio cha Chadema kuhujumiwa Kanda ya Ziwa

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ukiwa unaendelea na ziara zake mikoani, viongozi wa Chadema kutoka Kanda ya Ziwa wanasema wanaunga mkono umoja huo unaotetea maoni ya wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPENI YA USALAMA BARABARANI YA" WAIT TO SEND"YAENDELEA KANDA YA ZIWA‏

Ofisa wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza 7171 Josephine (kushoto), akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva Alex John wakati wa operesheni ya usalama barabarani iliyofanyika Mkoani humo ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya Usalama Barabarani ya “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya moto kutokutumia simu za mkononi wakati wakiwa wanaendesha kampeni hiyo inadhamiwa na Vodacom Tanzania.Dereva wa kampuni ya mabasi ya Mohamed Trans, Soud Nassoro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani