Madiwani waagizwa kusimamia maliasili
BARAZA jipya la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, limetakiwa kushiriki kikamilifu kuzuia uvamizi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Wami Mbiki na Msitu wa Kuni kwa kuwahimiza wananchi kufuga kisasa zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Jan
Maliasili waagizwa kupeleka ripoti bungeni
KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa amri ya Mahakama ya kutaka hoteli zote katika mbuga za wanyama za taifa kulipa ushuru wa kitanda.
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Watendaji waagizwa kusimamia usafi wa jiji la Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini (pichani).
Na Shamimu Nyaki -Maelezo
[DAR ES SALAAM] Watendaji wa Manispaa za Jiji la Dar es salaam wametakiwa kusimamia kwa ukamilifu suala la usafi katika maeneo yao ili kuzuia kusambaa kwa uchafu unaosababisha magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu.
Rai hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NkjbzwV62zg/VZr5f8CDRRI/AAAAAAAHnZs/tVU7U7jMXm4/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MADIWANI ULANGA WAPONGEZWA KWA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA MAPATO.
10 years ago
VijimamboWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipokutana na baadhi aya madiwani wa Loliondo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-30-1024x683.jpg)
WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s640/1-30-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-27-1024x683.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Mar
Polisi waagizwa kuacha rushwa
POLISI wametakiwa kubadili tabia kwa kujiepusha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa kutoka kwa watu wenye matatizo, yanayohitaji huduma za kipolisi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo Ufuatiliaji na Tathimini cha Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP) Mpinga Gyumi.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Wakimbizi waagizwa kusalimisha silaha
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kusalimisha silaha wanazozimiliki isivyo halali sambamba na kuwafichua wakimbizi wenzao watakaoingia kambini na silaha na kujihusisha na vitendo vya ujambazi.
11 years ago
Habarileo04 May
Makandarasi waagizwa kufuata utaratibu
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka makandarasi wanaofanya kazi katika wilaya ya Mvomero kufuata utaratibu uliowekwa na Baraza la Madiwani la kuwataka wapitie Serikali za vijiji kabla ya kuanza kazi .