Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makandarasi waagizwa kufuata utaratibu

NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka makandarasi wanaofanya kazi katika wilaya ya Mvomero kufuata utaratibu uliowekwa na Baraza la Madiwani la kuwataka wapitie Serikali za vijiji kabla ya kuanza kazi .

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Makandarasi waagizwa kujenga barabara bora

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.MAKANDARASI walioko chini ya Wakala wa Taifa wa Barabara (TANROADS) mkoani Kagera wameshauriwa kufanya kazi kwa viwango ili barabara walizokabidhiwa kujenga ziweze kupitika kwa urahisi ikiwa ni njia ya kukuza uchumi wa wananchi wa mkoa huo.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu waagizwa kufuata kasi ya Rais

WALIMU wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi, ubunifu na maarifa kuendana na kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi tu ili wanafunzi waelewe kinachofundishwa darasani bila ya kutegemea masomo ya ziada.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Kikoa cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, wakati alipofika Wilayani humo kwa ziara ya kikazi. Simbachawene amepiga marufuku ukamataji wa wananchi, bodaboda pamoja na kufanya operesheni ya aina yoyote kwa kukurupuka bila kufuata utaratibu, hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani badala ya kujenga amani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele

Kuanzia Mei 30, mwaka huu, taifa limeshuhudia kuanza rasmi kwa zoezi la kutangazania na kuchukua fomu kwa wanaokusudia kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yawaonya makandarasi

SERIKALI imeonya makandarasi wenye tabia ya kuhonga watumishi wa Serikali ili wapatiwe zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali kuacha mara moja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenje aonya makandarasi

MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....

 

11 years ago

Mwananchi

Barrick yawafunda makandarasi

Makandarasi wa Mkoa wa Shinyanga wanaoomba kazi migodi ya dhahabu Buzwagi na Bulyanhulu, wametakiwa kufuata sheria na taratibu, huku wakizingatia kiwango cha juu cha maadili ili kupata fursa ya kufanya kazi.

 

10 years ago

Habarileo

Makandarasi wasiothibitishwa marufuku

SERIKALI imepiga marufuku Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuunganisha umeme majumbani wakibaini kuwa makandarasi walioweka mfumo wa umeme kwenye nyumba hizo hawajathibitishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makandarasi 900 kukutana Dar

BODI ya Makandarasi Nchini (CRB), imeandaa mkutano wa wadau wa sekta ya ujenzi ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na wanataaluma wa fani ya ujenzi wapatao 900 kutoka mikoa mbalimbali nchini na nje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani