Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenje aonya makandarasi

MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Wenje criticises Magufuli

Development projects are financed by taxpayers’ money and not by CCM’s, an MP told Works minister John Magufuli.

 

11 years ago

Mwananchi

Membe amlipua Wenje

 Wakati Bunge likipitisha bajeti ya makadirio ya matumizi Sh191.91 bilioni ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2014/15 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, alitumia nafasi hiyo ‘kumchana’ Ezekiel Wenje na kusema kuwa anatumiwa na mataifa ya nje.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenje amvaa Meya

MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje: Msikubali kuchangishwa fedha

MBUNGE  wa  Nyamagana kupitia Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewashari wananchi mkoani hapa kutokubaliana na uchangishwaji wa fedha na Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje aizidi kete CCM

MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...

 

10 years ago

Mwananchi

Wenje abadili upepo mkutano wa JK

Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje jana amebadilisha upepo kwenye mkutano wa Rais Jakaya Kikwete, kwa kueleza kuwa miradi yote ya Serikali ni fedha za wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana

Mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Nyamagana, Ezekiah Wenje amesema kutokana na maendeleo aliyoyafanya kwa miaka mitano iliyopita anasubiri kuapishwa tena.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje adai visima havitoi maji

MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema kuwa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji kumi kila kijiji umekwama kwa asilimia 80 na hali hiyo inatokana na ufisadi mkubwa katika...

 

11 years ago

Habarileo

Wenje ataka operesheni machinga isitishwe

MBUNGE wa Nyamagana, Hezekia Wenje (Chadema) ameitaka Serikali isitishe operesheni ya kuondoa wafanyabiashara wadogo (machinga) wa eneo la Makoroboi jijini Mwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani