Wenje: Msikubali kuchangishwa fedha
MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewashari wananchi mkoani hapa kutokubaliana na uchangishwaji wa fedha na Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
11 years ago
Mwananchi28 May
Membe amlipua Wenje
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Wenje aonya makandarasi
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....
10 years ago
TheCitizen11 Oct
Wenje criticises Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wenje amvaa Meya
MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
CCWT: Wafugaji msikubali kuburuzwa
MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Malema Christopher amewataka wafugaji kutokubali kuburuzwa na askari wa wanyamapori au watendaji wa kata wanaowageuza shamba la bibi kwa kuwatoza mamilioni ya...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana
11 years ago
Habarileo17 May
Waandishi msikubali kurubuniwa- Spika
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewataka waandishi wa habari nchini, wasikubali kurubuniwa na kutumiwa vibaya na wanasiasa kwa ajili ya kutimiza matakwa yao wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.